Kipanya kaua bendi leo

heyo! Heyo!mimi ni daktare mkare wa mistare,mkware wa vibinti vya kitaare,
nashusha mistare mbele ya mkwe.ree halafu natinga ikulu kama mwigulu mchemba mwanachemba nakuita chemba ukinzingua natambaa kama msambaa makambaa

Niikibuka niko tilalila kama mr blue huku nawacheki chelsea the blue,huuwezi moto huu mkuu........

Are U one of them?
 
Big up kwa mwanafunzi aliyeshusha mistari kwenye paper ya form four.. Serikali imedata.. Utampimaje mtu kwa somo ambalo hajawai kumuona mwalimu toka form one mpaka anafanya mtihani.. HUko si kutaka vyeti(karatasi) na si ujuzi

Lakini ni kweli ati. True yo yoo!
 
kipanya ndiye rais ajaye watanzania!
<!--Hapo ume-[if gte mso 9]><xml> <w:WordDocument> <w:View>Normal</w:View> <w:Zoom>0</w:Zoom> <w:punctuationKerning/> <w:ValidateAgainstSchemas/> <w:SaveIfXMLInvalid>false</w:SaveIfXMLInvalid> <w:IgnoreMixedContent>false</w:IgnoreMixedContent> <w:AlwaysShowPlaceholderText>false</w:AlwaysShowPlaceholderText> <w:Compatibility> <w:BreakWrappedTables/> <w:SnapToGridInCell/> <w:WrapTextWithPunct/> <w:UseAsianBreakRules/> <w:DontGrowAutofit/> </w:Compatibility> <w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel> </w:WordDocument> </xml><![endif][if gte mso 9]><xml> <w:LatentStyles DefLockedState="false" LatentStyleCount="156"> </w:LatentStyles> </xml><![endif][if gte mso 10]> <style> /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; font-family:"Times New Roman"; mso-ansi-language:#0400; mso-fareast-language:#0400; mso-bidi-language:#0400;} </style> <![endif]--> Hapo ume-Exaggerate!
 
Yo yo yo we ni mkare ingawa ni dakitare mzee pindare kasarendare nachana kama rwakatare juu ya Jforum,vp bilah bado makamu? Sihiingizi udini hata kama sio mwisilamu yo yo

hhahhahaha!pindare kasarendare kwa madaktare!mama rwakatare hajasandare kwanire kwa jamiire foramure??manakare mamembare wa jamvire walimchanare kinomanomare!!!!:lol:
 
Hawa ndio waandishi wa habari tunawataka na jamii inao wataka. Nyota yake itakuzwa na wanajamii wengi sio mafisadi wachache na jamii ukihudumia vizuri itakulinda vizuri. Big up KP.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom