kipanya kafunikwa

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
................ ,,,,,,,,,,,,
420592_236759083073728_100002189133740_543618_17140869_n.jpg
 
Hawa jamaa wote wawili Kipanya na nathan nawakubali sana
Wanawakilisha ujumbe wao wazi bila kuogopa
 
hajafunikwa bana , ktk wasanii VICHWA hao wote wana nafasi sawa ktk jamii.enzi zetu alikuwepo (jina limenitoka) akichora CHAKUBANGA, CHUPAKI, MAMA CHUPAKI, POLO NA BUSHIRI, huyu naye alitoa mchango mkubwa sana enzi zile kuelimisha jamii kama vile unavyomuona KIPANYA na NATHAN.
 
hajafunikwa bana , ktk wasanii VICHWA hao wote wana nafasi sawa ktk jamii.enzi zetu alikuwepo (jina limenitoka) akichora CHAKUBANGA, CHUPAKI, MAMA CHUPAKI, POLO NA BUSHIRI, huyu naye alitoa mchango mkubwa sana enzi zile kuelimisha jamii kama vile unavyomuona KIPANYA na NATHAN.

Alikuwa anaitwa Gregory, ni marehemu sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom