Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hajafunikwa bana , ktk wasanii VICHWA hao wote wana nafasi sawa ktk jamii.enzi zetu alikuwepo (jina limenitoka) akichora CHAKUBANGA, CHUPAKI, MAMA CHUPAKI, POLO NA BUSHIRI, huyu naye alitoa mchango mkubwa sana enzi zile kuelimisha jamii kama vile unavyomuona KIPANYA na NATHAN.