Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
kuna kitangazo ktk TV anaonekana jamaa na km ndoo fulani iliyo na kodi ndani, halafu pia wanaonekana wafadhili nao wana ya kwao.Wote wanajaza ktk pipa ambalo nalo limetoboka, halafu pana kuvuja kwa fedha.Jamaa kaandika kinachovuja kuwa ni Misamaha ya kodi. mimi nakataa kwa hilo, kwani kinachovuja ufujaji na wizi.Ila misamaha ya kodi angalau inge vuja kutok kutoka ndoo ya TRA na si ktk kile kilichokwisha ingia ktk public coffer. nakukubali ila jitahidi ongeza fikra.