Dogo Tundu
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 448
- 189
hata dada yng ana miaka 10 anaumwa kichwa mpaka analia machozi!! tumemaliza hispital zote mpaka muhimbili hana tatizo lililoonekana.
Kwa wote wenye kuumwa kichwa kila siku tena kwa mda mrefu wanipm, samahani kuomba pm kwasababu suala la ugonjwa ni la mtu binafsi. Anyway binafsi nilikuwa muhanga wa hilo tatizo nimeumwa kichwa zaidi ya miaka 12, sasa nina nafuu kubwa baada ya kupata matibabu sahihi japo ni ghali kidogo. Madr. wetu sio wataalamu wa masuala ya neurological disorder, wengi wana guess tatizo matokeo yake unapewa dawa ambazo siyo sahihi kwa tatizo la kichwa.
Otherwise mcheki MziziMkavu ye huwa anajua sana natural remedial.
Last edited by a moderator: