Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipa nw yuko fiti tatzo ni beki na kiungo'beki inakatika sana viungo wanapanda xana mbele kwa hyo gape linakuwa kubwa sana mafoward wa timu pinzani so ndo unaona degea kapigiwa mashut meng epl kulko kpa yoyote
Hapo kwenye NYEKUNDU,Kwani hao Evra,Ferdinand na Evans ni wageni kwenye premier League? Mbona hamjawasema niaka yote hiyo? kuteleza si kuanguka watarudi kwenye kiwango chao soon, hii ya bao sita isifanye mkaanza kuwachukia wachezaji wenu wa miaka waliowasaidia kuijua Man u. Na nina KUHAKIKISHIA BILA YA HAO MANU ISINGEKUWA HAPO ILIPO.Kipa ana matatizo lakini sio makubwa kama unavyosema,ukweli mabeki wake ndio wanasababisha magoli mengi hasa yamesababishwa na Evra,Ferdinand na Evans.Mfano halisi ni mechi dhidi ya Man City na FC Basel
Kama unaijua mpira na unaangalia mechi za Man U utaliona hilo but kama unaongea kishabiki huwezi kuona.Uliona karibu magoli 3 yametokea upande wa Evra kwenye game dhidi ya City.Rio tangu amekuwa majeruhi kiwango kimeshuka hadi Capelo amempiga chini timu ya Taifa.Hapo kwenye NYEKUNDU,Kwani hao Evra,Ferdinand na Evans ni wageni kwenye premier League? Mbona hamjawasema niaka yote hiyo? kuteleza si kuanguka watarudi kwenye kiwango chao soon, hii ya bao sita isifanye mkaanza kuwachukia wachezaji wenu wa miaka waliowasaidia kuijua Man u. Na nina KUHAKIKISHIA BILA YA HAO MANU ISINGEKUWA HAPO ILIPO.