Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,771
- 59,121
ntachukua hyo kazi usijali, kesho naenda kwa Bi kidude atanipa skillz.
Nilijua tu RF hatofika mbali lol
Hhhm kazi gani jG?
ntachukua hyo kazi usijali, kesho naenda kwa Bi kidude atanipa skillz.
Nilijua tu RF hatofika mbali lol
Hhhm kazi gani jG?
Dialog kati ya Mimi na Mimi might just work.
Na hivi na mimi ni mwanasaikolojia ndio kabisaaa hamna kitakachoharibika.
si hyo kukufundisha "talk therapy"
ntarudi na package nzima ya lesson!
si hyo kukufundisha "talk therapy"
ntarudi na package nzima ya lesson!
"Pole yangu. . . let me take a min and relax"pamoja na kuwa mi si mwanasaikolojia, unachosema hakiwezekani. Monologue is half crazy. Suppose umetoka job umechoka. Unasema, 'dah! Kichwa kinauma!' Unajijibu vipi?
angalia isije ikawa talking madness, mkuu. Em nipe verse moja ya talking therapy
ah RF mkuu wangu hii ngoma imekushinda, niachie tu kwa roho safi, hzo verse ntazimwaga kwa mwanafunzi wetu ambaye wewe umeniachia mimi lol
"Pole yangu. . . let me take a min and relax"
Mbona hata hamna ugumu?
Ngoja niwaache muelimishane wenyewe kwa wenyewe kwanza @ RA na jG
Ngoja niwaache muelimishane wenyewe kwa wenyewe kwanza @ RA na jG
pamoja na kuwa mi si mwanasaikolojia, unachosema hakiwezekani. Monologue is half crazy. Suppose umetoka job umechoka. Unasema, 'dah! Kichwa kinauma!' Unajijibu vipi?
mmmh na wewe huna dogo? Mpaka uharibu, mi nmetoka kumtuliza RF na kishanikabidhi mikoba yote afu we unasusa tena.
Nmekwambia subiri ntoke huku majini, mbona una haraka hvyo tena?? Mmweh!!
mmmh na wewe huna dogo? Mpaka uharibu, mi nmetoka kumtuliza RF na kishanikabidhi mikoba yote afu we unasusa tena.
Nmekwambia subiri ntoke huku majini, mbona una haraka hvyo tena?? Mmweh!!
kama mie najijibu ' sio sana, ngoja nipitie panado kwa mangi halafu nikika nioge na kupumzika'
RA, jG. . . . malizaneni mi ntakuwepo barazani.
Tumalize nini sasa? I think everything is under control. Wewe tu
Najua ni mimi tu. . . na nyie!!lolz