Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
nashauri ama kupendekeza pawepo na eneo fulani ambapo wadau mbalimbali hasa wale wenye kuhitaji kukutana na marafiki/wenza wapya, watakutana na iwe mbadala wa kiota cha mtandaoni. Sehemu yeyewe iwe ni ya burudani na inayofikika kwa urahisi na idadi ya wadau ya kutosha. Aidha sinza ama kinondoni ama sehemu nyingine. Halafu kiota specific, mfano san cirro, mango, n.k.
Kwa kuanzia vipendekezwe viota kama vitano hivi kisha kila kimoja kipigiwe kura na kuwe na time limit. Kiota chenye kura nyingi ndicho kitakuwa makutano ya wale wanaohitaji kukutana na wenza na marafiki wapya. Anzeni basi kupendekeza. Mmojawapo wa wadau wa jukwaa hili aratibu hili zoezi. Mwisho wa siku mtagundua faida yake. Thanks!
Kwa kuanzia vipendekezwe viota kama vitano hivi kisha kila kimoja kipigiwe kura na kuwe na time limit. Kiota chenye kura nyingi ndicho kitakuwa makutano ya wale wanaohitaji kukutana na wenza na marafiki wapya. Anzeni basi kupendekeza. Mmojawapo wa wadau wa jukwaa hili aratibu hili zoezi. Mwisho wa siku mtagundua faida yake. Thanks!