MWENYEWE ALITOA SH2 MILIONI, SHEKIFU, OLE SENDEKA NAO WALICHANGIA Peter Saramba, Arusha
MMOJA wa wanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, anadaiwa kutoroka na zaidi ya Sh26 milioni za jumuiya hiyo.
Kawaida yao kwani umesahau mwenyekiti wa magamba dar na meya wa dar si enzi zao wanaongoza uvccm walikula mradi mzima wa mabasi ya wanafunzi na hakuna alokemewa? Ccm - chukua chako mapema. Magamba wala haiwastui kwani huyoi kijana kaonyeha kufuzu mafunzo na mbinu za uongozi wa magamba.
...haram kwa haram,hapo ni sawa na...aliyeeuza chen feki naye kapewa pesa bandia...pesa iliyopatikana kwa njia za ufisadi zimeibiwa?!...picha ninayoina hapo ni sawa na jambazi kuibiwa na kibaka,je jambazi anauwezo wa kwenda kulipoti polisi ya kwamba kaibiwa?...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.