chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Inawezekana kiongozi wa upinzani aliuliza kuhusu kutotambuliwa kwa wahutu waliokufa kwa uchache wao kwa lugha ya kejeli na uchochezi jambo ambalo ni hatari kwa Taifa kama Rwanda ambalo lina kovu kubwa la matokeo ya ukabila.
Hapa mamlaka za nchi lazima zichukuwe hatua,hakuna Demokrasia isiyo na mipaka.ENGABIRE amekaa uhamishoni sana akiwa anakula raha wakati wenzake wana hangaika na donda la ukabila mpaka mambo yamekwenda vizuri ndio yeye anataka kuwarudisha walikokuwa jamani!KAGAME chapa kazi baba,Waafrika falisafa ya "DEMOCRACIA"tumeielewa kinyume sana.
acha ushamba tunaumizana macho unafikiri kuweka mirangi utaonek