Kiongozi wa Upinzani RWANDA VICTOIRE INGABIRE jela 8; Alisha Uliza kwanini WAHUTU wafu hawatambuliwi

Inawezekana kiongozi wa upinzani aliuliza kuhusu kutotambuliwa kwa wahutu waliokufa kwa uchache wao kwa lugha ya kejeli na uchochezi jambo ambalo ni hatari kwa Taifa kama Rwanda ambalo lina kovu kubwa la matokeo ya ukabila.
Hapa mamlaka za nchi lazima zichukuwe hatua,hakuna Demokrasia isiyo na mipaka.ENGABIRE amekaa uhamishoni sana akiwa anakula raha wakati wenzake wana hangaika na donda la ukabila mpaka mambo yamekwenda vizuri ndio yeye anataka kuwarudisha walikokuwa jamani!KAGAME chapa kazi baba,Waafrika falisafa ya "DEMOCRACIA"tumeielewa kinyume sana.

acha ushamba tunaumizana macho unafikiri kuweka mirangi utaonek
 
Halafu mijitu mingi humu inataka Tanzania itawaliwe kama Rwanda, jiulize kina Slaa na Mbowe saa hizi wangekuwa wapi?.
 


“That’s the problem I have with this government. If you talk about ethnicity, they say you are a divisionist,” Ingabire said in a 2010 interview with The Associated Press after she was put under house arrest. “I think the better solution is you talk about it and find a solution.”


I dont care what Kagame regime thinks but i at least some one has spoken the truth. I was at this museum there is a lot of confusion over the stories told. They say Habyarima regime prepared the genocide by buying a lot of arms which were distributed to civilians; and at another scene they show you old machete and axes which are claimed to be the tools used to brutally kill the Tutsis. So were these the sophisticated arms supplied by Habyarima to the Hutus?

Victoire Ingabire you are a hero. just like Mandela. God protect you and keep. freedom is coming tomorrow.
 
Embu angali KAGAME anavyoDICTATOR; Huyu Dada alikuwa anaishi NJE ya NCHI kwa MIAKA 16; Amerudi Nchini Katembelea GENOCIDE Areas; akaona kasoro Hakuna ya WAHUTU waliouwawa, ila tu WATUSI.

Asasema nataka kugombea URAIS, angalia akawekwa ndani na Wanasema eti alishishiri kwenye MAUAJI wakati alikuwa anaishi NJE ya NCHI

Sasa hapo HATA KAMA NCHI ITAKUWA NA MARUMARU, UHURU hauna hakuna FURAHA na AMANI na MAENDELEO ni GERESHA TUUU.

Jamani Watanganyika, Tusifurahike kabla ya kuelewa Maana za VIONGOZI...

picha ya huyu mdada/mama inatia simanzi kweli, kama hakuhusika na hiyo mipango ya wahasi namuombea kwa mungu ampe unafuu wa magumu anayopitia kwa sasa, amfariji na kumtia nguvu, amekaa gerezani muda mrefu na sasa anakaa tena miaka nane, mungu wa haki ataamua haki yake.
 
picha ya huyu mdada/mama inatia simanzi kweli, kama hakuhusika na hiyo mipango ya wahasi namuombea kwa mungu ampe unafuu wa magumu anayopitia kwa sasa, amfariji na kumtia nguvu, amekaa gerezani muda mrefu na sasa anakaa tena miaka nane, mungu wa haki ataamua haki yake.

Hahusiki hata KIDOGO; Alikuwa MDOGO na baadaye kwenda NCHI za NJE... Lakini KAGAME akisikia yoyote anataka kugombea URAIS atamfanyia VISA aondoke NCHINI
 
Dawa ya wanyarwana waende wazaramo wanengereko wamatumbi wangindo,wapogoro watondi wanyagatwa na makabila mengi hasa ya pwani ambayo kiasili si wabaguzi maana wamezoea kupokea wageni toka kale.
wakaoe/wakaolew kule wapate machotara wa kindenge-rwa, lugu-rwa,pogo-rwa pengine wataacha kujibainisha kama watutsi na wahutu!
Hahaha you guy have made my day, nimezipenda hizo breedings.
 
Inawezekana kiongozi wa upinzani aliuliza kuhusu kutotambuliwa kwa wahutu waliokufa kwa uchache wao kwa lugha ya kejeli na uchochezi jambo ambalo ni hatari kwa Taifa kama Rwanda ambalo lina kovu kubwa la matokeo ya ukabila.
Hapa mamlaka za nchi lazima zichukuwe hatua,hakuna Demokrasia isiyo na mipaka.ENGABIRE amekaa uhamishoni sana akiwa anakula raha wakati wenzake wana hangaika na donda la ukabila mpaka mambo yamekwenda vizuri ndio yeye anataka kuwarudisha walikokuwa jamani!KAGAME chapa kazi baba,Waafrika falisafa ya "DEMOCRACIA"tumeielewa kinyume sana.
Hujui lolote lile kuhusu DEMOCRACY Piga kimya tuu
 
KAGAME NI DIKTETA JAMANI NA MKABILA HASWA
km kuna mtu anataka kuishi na kunusa harufu za baruti kila siku endeleeni kwa kukumbatia hao watu wa kaskazini wenye Malengo ya kuitawala Tanzania
Iko siku Mtakumbuka maneno ya JK Nyerere aliposema IKULU HAKUNA BIASHARAMNACHOKIMBILA NI NINI
tunawaona watu wanagharamikia kuingia kwa nguvu zote
Uharo wako hapa unanuka ataree
 
Back
Top Bottom