MTU ukiwa ukawa au chadema bwana , uki refer baadhi ya comment zako waweza kuhisi aibu, sasa mbona kamaliza mda wakesidhani kama kikwete atamaliza mda wake, inabidi apewe ulinzi mkali mana anaweza kujinyonga!
Pole sana MkuuNani anatukumbusha tena huu uchungu?
Aliyemteka ulimboka huyu hapa!Kama katekwa na amebahatika kupona hajafa!!!!!!!! basi hakuna haja ya kuunda chombo cha uchunguzi kwani huyo aliyekuwa amemuita anamkumbuka ni kumtaja tu na akamatwe naye atataja wenzake na waliomtuma.
Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).
UPDATE:
Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!
Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.
PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!
Utakula bata na meno ya bandia? Matendo mengine aliyofanyiwa je, kweli yatamtoka kichwani kwa kukaa ulaya?Aisee yupo zake ulaya anakula bata now
Kuna watu wamepotea kitambo humu JF . Huyu jamaa katokomea wapi?Kama habari hii ni ya kweli, Suluhisho la ukweli halitokani na kuteka watu, ni kwa kuwapa madaktari haki yao.
Serikali badala ya kuteka mafisadi inateka wanaodai maslahi yao. Aibu!. Baadhi ya madai ya madaktari ni ya Msingi, wanataka huduma ziboreshwe hospitalini, wanataka wasiwaandikie watu aspirini wakati wanahitaji dawa ya malaria isiyokuwepo.
Haya ni madai ya haki, hayatatatuliwa kwa kuteka watu.
KabisaJamaa alikula sana vitasa....