Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Ametaka serikali kushughulikia tatizo la ufisadi! Amesema serikali yoyote ile inayonyenyekea watu wachacha kwa gharama ya wengi ni ya kisaliti!
Chanzo ITV!
Chanzo ITV!
<br />wakati wa mkapa walikuwa waislam wakilalamika. wakati wa jK wakiristo wanalalamika. tz mambo mazuri sana
Join Date : 12th August 2011tushwawazoe. angalitoa kauli hiyo wakati wa mkapa tungalimfahamu