Kiongozi wa Kambi ya Upinzani safari hii....mmmh

Hakuna haja ya kuandikia mate; Ngoja tuone yupi zaidi kati ya Hamadi Rashidi na Mbowe. bila kujaribu kitu au mtu huwez kujua ubora wake. Zito alikuwa kijana mzuri mtetezi wa maslahi ya taifa lakini anaenda speed............baada tu ya kuchaguliwa kwenye tume ya madini na ikamaliza kazi.........zito alibadilika sana........sijui ni nini alilishwa hukuo!!!!!! Inaonekana ameshawekwa sawa na CCM, ninachoona Zito akihama tu CDM amekwisha kisiasa lakini akatulia na akasikiliza wakuu wake atafika mbali mno, umaarufu huja kwa kasi na pia huondoka kwa kasi sana............hivyo umaarufu aliyokuwa nawo usije ukamponza, aangalie wakina masumbuko Lamwai wako wapi leo.

So far ukimondoa huyo Zitto ambae nina uhakika siku zake chadema zinahesabika watakaobakia kwenye nafasi za juu majority wanatokea kanda ya kaskazini sijui kama ni kwa bahati mbaya au makusudi.
 
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

We kichaa kweli,ulitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani apewe kimada wa ccm (zitto) ?

Elimu yake ndogo ipi?
 
Back
Top Bottom