Kiongozi wa Kambi ya Upinzani safari hii....mmmh

Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

Unafahamika, umeongeza idadi ya posts lakini hii kama zilizo nyingine nyingi zako inaingia kwenye kundi la zile tunazopenda kuziita kwa kimombo kama "CRAP"
 
Hii si Masters ni mkutano! Kikwete hajawahi kusoma chochote tangia agraduate 1975 amesahau hata basic economic principals

Kikwete attended the University of Dar es Salaam from 1972 to 1975, where he earned a degree in Economics followed by Masters degree degree in the same field.

Sijui alisoma mwaka gani hapo
 
So far ukimondoa huyo Zitto ambae nina uhakika siku zake chadema zinahesabika watakaobakia kwenye nafasi za juu majority wanatokea kanda ya kaskazini sijui kama ni kwa bahati mbaya au makusudi.

Mbona ccm viongozi wote wa juu wanatoka pwani? ebo!
 
Kutaja Madrasa ni udini? Nini maana ya udini ndugu...!?
basi akasome kipaimara au komunio ya kwanza ndio aje na thread yenye akili.
nadhani kuna watu wengi hawamfahamu Mh Mbowe humu jamiiforum,nina uhakika ukitaja CHADEMA bsi Jina la Mh Mbowe haliko mbali,ukimsifia Mh Zitto basi msingi wake ni Mh Mbowe.ni kama vile January Makamba na Kikwete,kama Mbowe na Zitto.
sifa za jana sio sifa za leo.
Tujaribu kupunguza jazba wakati mwingine maana naona kama watu humu wanataka kuwachefua watu wengine kwa thread zisizo na miguu wala kichwa.
 
wengi wetu hicho kimoja alichotufanyia cha kuweka historia ya kuwatoa wabunge wakati wa hotuba ya rais aliyechakachua matokeo na kujitanzgazia ushindi kinatutosha kabisa. Tunataka wanaume majasiri sio wale wenye ndimi mbili mara hivi mara vile. Kama unasikitika badala ya kuabaki na masikitiko nenda ccm mkasheherekea ushindi feki badaka ya kutuletea thread zisizo na kichwa wal miguu.

Tayari ccm wameshaona moto wa mabadiliko ya katiba na tume huru ya uchaguzi unashika kasi kwa any reasonable minded person hadi msomi wao benson banna wasemcomment kuhsu hilo ndio makamba anataka kutuletea propaganda za yule mipasho wake aliyemfuhga ofisini kama msukule. Nenda kajiunge nao mara moja!!!!!!!!!!!!!!
!

na bado kama mashoga kama ninyi na wenzewko kule mjengoni hamjatuelewa chini ya kamanda wetu mbowe tazama mabunge ya wenzetu wasiotaka upuuzi wakati wa kulinda raslimali za taifa.
 
Mada nyingine bana, hivi unamjua Mbowe au umemsikia mwaka huu. Unajua kwamba yeye aliingia Bungeni Zitto akiwa Chuo Kikuu ndo kwanza anajifunza siasa?Unajua kuwa Mbowe amekuwa kwenye siasa za kitaifa kabla ya Zitto?Unajua kuwa Mbowe ndiye aliyesimama kukijenga chama kitaifa ktk miaka mitano hii hadi kufika kilipo.

Unauliza elimu unatakwimu?Unajua Zitto ndio kwanza anahangaika na thesis ya masters wakati Mbowe tayari anayo?Ingawa elimu si kigezo, kiongozi wa kambi ya upinzani iliyopita Hamad Rashid si msomi kwa viwango vya usomi, lakini aliendesha kambi kwa busara sana. So angalia hoja zako

Ungemjibu mtoa mada badala ya kunikomalia mimi mzee (Post numbe 4)!!!!
 
zitto hawezi kuwa mwenyekiti wa CDM kwa sababu ni mkweli na siasa zake ni za wazi zaidi,tofauti na
msimamo wa CDM uliojificha wa uchaga.Ndo mana alipotaka kugombea uenyekiti akazuiliwa kwa sababu zisizo za kidemokrasia kama chama chenyewe kinavyojinasibu.Ndomana wenye kuielewa CDM hawampendi zitto,kwa sababu hana mission ya uchaga wala udini,anataka chama kiwe
kwa maslahi ya watz.Angalia m/kiti wa bawacha taifa walivyomfanya,kaondoka. Unamkumbuka walid kaburu kamuulize kilichomtoa CDM.Kama angekuwepo chacha wangwe angethibitisha haya.Kamuulize aman walid kaburu nini kilimkimbiza CDM.Tahadhalini sana watz na chadema

Hujui unachokizungumza wewe mtoto....huku jf uliingiaje kwanza? nahisi kama we ni kirusi vile.!!!
Hata chama kingekua na wachaga au wakwere tupu kuna shida gani kama kinatetea maslahi ya nchi nzima na watu wake??
stop this nonsense za ukabila
 
zitto hawezi kuwa mwenyekiti wa cdm kwa sababu ni mkweli na siasa zake ni za wazi zaidi,tofauti na
msimamo wa cdm uliojificha wa uchaga.ndo mana alipotaka kugombea uenyekiti akazuiliwa kwa sababu zisizo za kidemokrasia kama chama chenyewe kinavyojinasibu.ndomana wenye kuielewa cdm hawampendi zitto,kwa sababu hana mission ya uchaga wala udini,anataka chama kiwe
kwa maslahi ya watz.angalia m/kiti wa bawacha taifa walivyomfanya,kaondoka. Unamkumbuka walid kaburu kamuulize kilichomtoa cdm.kama angekuwepo chacha wangwe angethibitisha haya.kamuulize aman walid kaburu nini kilimkimbiza cdm.tahadhalini sana watz na chadema
kwani kuondoka kwa mtu ni nongwa, nendeni hata ninyi mnangoja nini? Msahachukua fedha kutoka el na ra kukwamisha moto wa kudai mabadiliko ya katiba na tume huru ya uchaguzi ndio mnaanisha thread za kipuuzi. Yeyote anaytaka kuchapa lapa achape tuu. Ili mradi chini ya kamanda mkuu mbowetushamotoa kamasi mkwere kamsi ndio maana mmmepata hivyo vijisenti vya kuleta mgawanyiko. Mnajipati
 
Ana uzoefu bungeni,
ana elimu nzuri,
ana busara,
anatanguliza maslahi ya nchi mbele,
hana ukabila,
kwa kifupi yeye ni kiongozi tofauti na aliyepo sasa ambaye amekaa zaidi kibiashara.


nothing u know, u have mouth, just to talk, hata kiswahili hukijui, ur bogus, think....!!!!! then u talk or post a thread, u r a poor mind big mouth
 
Unafahamika, umeongeza idadi ya posts lakini hii kama zilizo nyingine nyingi zako inaingia kwenye kundi la zile tunazopenda kuziita kwa kimombo kama "CRAP"

Siandiki ili kufahamika. Nashirikisha jamii kile ambacho ninaamini kina maslahi kwa Tanzania.

Wewe endelea kuandika ili kuuza sura kwa kutoa matusi.
 
Siandiki ili kufahamika. Nashirikisha jamii kile ambacho ninaamini kina maslahi kwa Tanzania.

Wewe endelea kuandika ili kuuza sura kwa kutoa matusi.

Hivi kwanini idadi ya mashoga inaongezeka Tanganyika?
 
Kweli sasa hunazidi kupata vichaa huku kwenye forum yetu siku hadi siku..

Ukiangalia chadema ndani ya miaka 5 hii, ni tofauti sana na wakati uliopita. Sasa wanaweka malengo na yanatekelezwa. Wapo mamluki na ya chama ni kweli ila siyo tatizo ndiyo maana nikasema kuwa chadema sasa wajipange tena vizuri zaidi. Na watafute vijana wenye kuweka maslahi ya taifa mbele.

Mbowe ni msomi na lazima tujue ila mtu anamtazamo wake na fikra zake na misemo yake.. Ila ukimwangalia na kumsikiliza mbowe utajua ni mtanzania mwenye kutaka maendeleo ya nchi yetu.

Tuache majungu kufanye kazi.
 
Kweli sasa hunazidi kupata vichaa huku kwenye forum yetu siku hadi siku..

Ukiangalia chadema ndani ya miaka 5 hii, ni tofauti sana na wakati uliopita. Sasa wanaweka malengo na yanatekelezwa. Wapo mamluki na ya chama ni kweli ila siyo tatizo ndiyo maana nikasema kuwa chadema sasa wajipange tena vizuri zaidi. Na watafute vijana wenye kuweka maslahi ya taifa mbele.

Mbowe ni msomi na lazima tujue ila mtu anamtazamo wake na fikra zake na misemo yake.. Ila ukimwangalia na kumsikiliza mbowe utajua ni mtanzania mwenye kutaka maendeleo ya nchi yetu.

Tuache majungu kufanye kazi.

As far as I know him, he is a self-centred businessman who wants to use politics for personal gains.

NEVER FOR THE BENEFIT OF THE NATION....never.

It is pity that most of his followers can't see this.
 
KIKWETE HANA MASTERS, HILA ANAYO PhD. YA KUPEWA. TOKA AMALIZE BACHELOR MIAKA HIYO YA SABINI AJAKANYAGA SHULE HADI LEO HII.
 
As far as I know him, he is a self-centred businessman who wants to use politics for personal gains.

NEVER FOR THE BENEFIT OF THE NATION....never.

It is pity that most of his followers can't see this.
KWANZA TUPE MSIMAMO WAKO KUHUSU MKAKATI WA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI, UNAIAMBI NINI CCM NA jK KUHUS MAMBO HAYO? NDIO TUKUAMINI KUWA NI MWENZETU.
 
President Jakaya Mrisho Kikwete.
Jakaya Mrisho Kikwete, affectionately refered to as JK, is the current President of the United Republic of Tanzania. He was born at Msoga village in Bagamoyo District 60 years ago.

He received his primary education at Msoga Primary School between 1958 and 1961 and his middle school education at Lugoba School from 1962 to 1965. He then moved from Lugoba School to Kibaha Secondary School for O-level education between 1966 to 1969. The following year he joined Tanga Secondary School for advanced level education. Kikwete attended the University of Dar es Salaam from 1972 to 1975, where he earned a degree in Economics followed by Masters degree degree in the same field.


Kikwete grew up witnessing the exercise of leadership by his grandfather Mrisho Kikwete as a local chief and father as a District Commissioner in colonial Tanganyika and Regional Administrative Secretary and an Ombudsman in post-colonial Tanganyika and the United Republic of Tanzania. He spent part of his childhood moving from one area of country to another as his father was transferred to different outposts. He also spent a better part of his childhood in the village under the guidance of his grandfather. Kikwete became a natural choice for leadership in school and later in the party (TANU and CCM) youth movements.

His leadership talents emerged at early stages in life. He was a student leader both in middle and secondary schools and at the University of Dar es Salaam. He was elected Chairman of the Students Council at Kibaha Secondary School and Deputy Head Prefect at Tanga Secondary School. He became very active in student politics at University. He was eventually elected Vice President of the Dar es Salaam University Students Organisation and de-facto President of the student government at the Main Campus in 1973/74. As a student leader, he spearheaded efforts to fight for student’s rights and welfare. He was in the forefront in bringing about awareness and activism in liberation and anti-apartheid politics in the campus and the University community at large. He represented the Dar es Salaam University students and the students and youths of the African continent in several international conferences. Among such meetings were the International Youth Population Conference in 1974 in Bucharest, Romania.

Graduating with a degree in economics in 1975, he opted for a low-paying job as an executive functionary/officer of the ruling Party (TANU later CCM). This gave him the opportunity to work at the grassroots in rural regions and districts of Tanzania.

Kikwete sharpened his leadership acumen in the military. He first had basic military training at Ruvu National Service Camp (1972) and later underwent a basic officers course at the famous Tanzania Military Academy at Monduli, Arusha, which is Tanzania's top military training institution. On successful completion of the course, he was commissioned as a lieutenant in 1976. He also undertook Company Commander’s Course in 1983 at the same academy. In his military career, he rose to the rank of Lieutenant-Colonel.

From 1984 to 1986, Kikwete was Chief Political Instructor and Political Commissar at the Military Academy. He retired from the military as a lieutenant-colonel when political pluralism was reintroduced to Tanzania in 1992 when he chose to become a full time politician. Prior to that, he was permitted to be both in the military and political leadership.


In elective Party politics, Kikwete started shining in 1982 when he was overwhelmingly elected by the party (CCM) national congress to be a Member of the National Executive Committee. This is the highest policy and decision-making body of the party. He has won re-elections to the body every five years since then. Also, in 1997, he was elected a member of the party's powerful 31-member Central Committee (CC). He is still a member of the Central Committee since he was re-elected in 2002 for another term of 5 years.

As a party cadre, Kikwete moved from one position to another in the party ranks and from one location to another in the service of the party. When TANU and the Zanzibar's Afro-Shirazi Party (ASP) merged to form CCM in 1977, Kikwete was moved to Zanzibar and assigned the task of setting-up the new party's organisation and administration in the Islands. In 1980, he was moved to the Party's Headquarters as Administrator of the Dar es Salaam Head Office and Head of the Defence and Security Department before moving again up-country to regional and district party offices in Tabora Region (1981-84) and Nachingwea (1986-88) and Masasi District (1988) in the country's southern regions of Lindi and Mtwara respectively.

President Kikwete throve in the military and grassroots party political organisation, mobilisation and administration until 1988 when he was appointed to join the Central Government. The then President Ally Hassan Mwinyi appointed him Member of Parliament and, simultaneously, Deputy Minister for Energy and Minerals on November 7, 1988. In 1990 he was promoted to full Minister responsible for the Ministry of Water, Energy and Minerals. Later the same year he successfully contested for a parliamentary seat in his home constituency of Bagamoyo. He was reappointed Minister for Water, Energy and Minerals in the government formed after the elections.


In 1994, at 44, he became one of the youngest Finance Ministers in the history of Tanzania. At the Treasury, he established discipline in public finance management and accountability and, until today, he is still remembered for establishing cash budget system and revamping of revenue collection structures, methods and institutions, including preparations for the formation and eventual establishment of the Tanzania Revenue Authority.

In December 1995, he became Minister of Foreign Affairs and International Cooperation, being appointed by President Benjamin William Mkapa of the third phase government. He held this post for ten years, until he was elected President of the United Republic of Tanzania in December 2005, hence becoming the country’s longest serving foreign minister.

During his tenure in the Ministry of Foreign Affairs, Tanzania played a significant role in bringing about peace in the Great Lakes region, particularly in Burundi and the Democratic Republic of Congo (DRC). Kikwete was also deeply involved in the process of rebuilding regional integration in East Africa. Specifically, several times, he was involved in a delicate process of establishing a Customs Union between the three countries of the East Africa Community (Kenya, Uganda and Tanzania), where, for quite some time, he was a Chairman of East Africa Community's Council of Ministers.

Introducing candidate Kikwete at a campaign rally in Dar es Salaam on 21 August 2005, former President Mkapa described him as a super-diplomat, in recognition of his role in the search for peace in neighboring Burundi and the Democratic Republic of Congo. Kikwete also participated in the initiation, and became a Co-Chair, of the Helsinki Process on Globalisation and Democracy.


On May 4th, 2005, Kikwete emerged victorious among 11 CCM members who had sought the party's nomination for Presidential candidacy in the general election. After a 14th December 2005 multiparty general election, he was declared a winner by the Electoral Commission on December 17th, 2005 and was sworn-in as the Fourth President of the United Republic of Tanzania on 21st December 2005.

President Kikwete's governing philosophy and political views are influenced by those of Mwalimu Julius Nyerere whom the President was privileged to be close to. So far Kikwete’s government has received accolades across the country and in the donor community for fighting corruption, investing in people, particularly in education, and push for new investiments.

In the past two years of Kikwete’s presidency, a remarkable 1,500 new secondary schools have been built, and a new 40,000-student science university is being built in Dodoma, central Tanzania. These successes have led the United States government to grant Tanzania US $698 million under the the Millenium Challenge Account assistance program, the UK government US $500 million for education, and the New York based Africa-America Institute (AAI) to award Tanzania the Africa National Achievement Award in September 2007 in New York.


President Kikwete recently launched a national campaign for voluntary HIV/AIDS testing in Dar es Salaam. He and his wife were the first to be tested.


President Kikwete is a keen sportsman having played basketball competitively in school. He has been a patron of the Tanzania Basketball Federation for the past 10 years. He is married to Mama Salma Kikwete, and together they have eight children.

Kishongo,
Jaribu kuwa mbunifu na mpenzi wa kujifunza. Kila ukionacho kihakiki. Huoni kasoro hapo? Digrii ya kwanza inatajwa ni ya kipindi kipi, lakini Master imefungwa-fungwa.

Mkuu wetu hana Masters maana hata hiyo ya kwanza nasikia alipata GPA ya 2.0 (mwisho wa ku-pass) baada ya kusaidiwa na marafiki. Alikuwa bussy kila wakati na miziki ya twist.
 
Back
Top Bottom