Wanajamvi oneni habari zinazoripotiwa na magazeti yetu kwa nia ya kuwapa habari watanzania
"Polisi Dar es Salaam wamemkamata na kumfikisha mahakamani, mwenyekiti wa mtaa wa Yangeyange kata ya Msongola, Ilala Collman Marwa kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga, muuguzi wa Zahanati ya Msongola.
Mwenyekiti huyo aliyeingia madarakani kupitia Chadema, pia anadaiwa kuwapiga wauguzi wengine sita wa zahanati hiyo."
source: Mwananchi, 1 Jun, 2011
"Polisi Dar es Salaam wamemkamata na kumfikisha mahakamani, mwenyekiti wa mtaa wa Yangeyange kata ya Msongola, Ilala Collman Marwa kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga, muuguzi wa Zahanati ya Msongola.
Mwenyekiti huyo aliyeingia madarakani kupitia Chadema, pia anadaiwa kuwapiga wauguzi wengine sita wa zahanati hiyo."
source: Mwananchi, 1 Jun, 2011