Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,647
..Dr.Migiro amezungumza kwa niaba ya Ban Ki Moon na amesisitiza suala hili litatuliwe KIDIPLOMASIA.
..Kikwete inabidi awe careful na Mugabe. tena naona amefanya vizuri kuongea kiswahili. Hakuna anayeweza kusimama "pound-for-pound" na huyu Mzee.
Mugabe ana mdomo sijawahi kuona!! Uzuri wake ni kwamba yeye haogopi mtu na kama ikibidi atakupasha tu yale yaliyopo moyoni mwake. Kwa hilo nampa kudos lakini mengine ni sifuri kabisa.