Kilbark
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 572
- 161
Huyo jamaa anajua most of African leaders are corrupt through western bourgeoisie policies that are being dictated through media propaganda and bretton woods and Paris Club incentives. Ukianzia Rwanda,Uganda,Ethiopia,Kenya,DRC wote hao ni blood kasoro TZ hatuna hiyo sifa lakini kwa ufisadi ndio wenyewe as a result of that ukijaribu kutafuta chanzo utawakuta ni hao hao. Saudi Arabia mambo ni hayo hayo nakumbuka katuni moja ya Gado alishawahi kuitoa akitofautisha viongozi hao wawili ambao hawana sifa tofauti Saudi na Zimbabwe namna alivyokuwa akiambiwa mfalme wa Saudi ilikuwa kana kwamba akibembelezwa ila kwa Jongwe ni pamoja na vipaza sauti kaekewa masikioni mwake.
Its high time for African leaders to face that challenge especially from Mr Mugabe a well known comrade who now become dictator .Naona muda wake umekwisha kisiasa
Its high time for African leaders to face that challenge especially from Mr Mugabe a well known comrade who now become dictator .Naona muda wake umekwisha kisiasa