STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Tunakumbuka hotuba aliyoitoa Mkuu wa Kaya kwa wale makada walioifikisha nchi hii hapa ilipo... aka Wazee wa Dar jana ni kama ya nne hivi tangu Jk aingie pale magogoni. Mimi nimeshangazwa sana na mambo ya kiswahili I mean maneno ya ki uswahili aliyoyaongea mkuu mbele ya wale wanaoitwa wazee wa Dar ambao kilicho mbeleni kumalizia Pension zao na kupunzishwa.....
Kikubwa kilichonishangaza ni kitendo cha JK kukutana na viongozi wa madaktari ikulu na kuzungumza nao na hadi leo waTZ hatujaambiwa officialy Rais aliwaambia nini hawa madaktari hadi wakarudi kazini. Isitoshe madaktari wamemheshimu sana JK kwa kukubali kurudi kazini bila masharti yeyote.. Sasa haya maneno ya Taarabu JK anayatoa wapi? au kwa vile yeye na familia yake hawatibiwi bongo?
Maana haingii akilini kwenda kwa majuha kama wale wa jana eti ukazungumzie issue ya kiprofession kama udaktari.. Huyu jamaa alitakiwa kukutana na madaktari wakamweleza matatizo wanayopata nk. alafu akawaabia mawaziri wale wakawajibika.
jingine ni swala la kuwa na vifaa kwenye mahospitali, Jk anasema kila wilaya kuna X-RAY mimi naomba aende kwenye Hospitali ya Mkoa wowote akaangalie, kama yeye si Dk hawezi kujua kama haifanyi kazi mwambieni awachukue ma DK wamwonyeshe kama ni nzima au mbovu maana tumeshuhudia sana yeye na Makamu wake na waziri mkuu wakizindua miradi ya maji ambayo sika tatu au mbili kabla ziara yake huwa matenki yanajazwa maji na wakifika pale wanaambiwa mradi wa Kisima au bomba umekakilika na unafanya kazi kumbe kadanganywa.
Wanapokuja wasamaaria wema kama madaktari wanamwambia viongozi wa wizara wameagiza vifaa feki vya kupimia ukimwi kwa nini anawaona wabaya? kwa nin anafanya Mzaha na propaganda.. Si ni bora waTZ wafe kwa kuugua kulikoni kuharibiwa maisha kwa kuambiwa ana Ukimwi wakati hana au hana ukwimwi wakati anao...
Mimi nafikiri ingekuwa China hao kina Mponda na Nkya ni wa kunyongwa sasa sisi huku wanaambiwa wawapishe wengine kwa nini inakuwa noma?
Kikubwa kilichonishangaza ni kitendo cha JK kukutana na viongozi wa madaktari ikulu na kuzungumza nao na hadi leo waTZ hatujaambiwa officialy Rais aliwaambia nini hawa madaktari hadi wakarudi kazini. Isitoshe madaktari wamemheshimu sana JK kwa kukubali kurudi kazini bila masharti yeyote.. Sasa haya maneno ya Taarabu JK anayatoa wapi? au kwa vile yeye na familia yake hawatibiwi bongo?
Maana haingii akilini kwenda kwa majuha kama wale wa jana eti ukazungumzie issue ya kiprofession kama udaktari.. Huyu jamaa alitakiwa kukutana na madaktari wakamweleza matatizo wanayopata nk. alafu akawaabia mawaziri wale wakawajibika.
jingine ni swala la kuwa na vifaa kwenye mahospitali, Jk anasema kila wilaya kuna X-RAY mimi naomba aende kwenye Hospitali ya Mkoa wowote akaangalie, kama yeye si Dk hawezi kujua kama haifanyi kazi mwambieni awachukue ma DK wamwonyeshe kama ni nzima au mbovu maana tumeshuhudia sana yeye na Makamu wake na waziri mkuu wakizindua miradi ya maji ambayo sika tatu au mbili kabla ziara yake huwa matenki yanajazwa maji na wakifika pale wanaambiwa mradi wa Kisima au bomba umekakilika na unafanya kazi kumbe kadanganywa.
Wanapokuja wasamaaria wema kama madaktari wanamwambia viongozi wa wizara wameagiza vifaa feki vya kupimia ukimwi kwa nini anawaona wabaya? kwa nin anafanya Mzaha na propaganda.. Si ni bora waTZ wafe kwa kuugua kulikoni kuharibiwa maisha kwa kuambiwa ana Ukimwi wakati hana au hana ukwimwi wakati anao...
Mimi nafikiri ingekuwa China hao kina Mponda na Nkya ni wa kunyongwa sasa sisi huku wanaambiwa wawapishe wengine kwa nini inakuwa noma?