kuberwa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 570
- 125
Hope mmekuwa na mapumziko mema! Hoja yangu kwa leo ni kuhusu kiongozi wa nchi yetu na mkono wa kushoto. Nimekuwa nikimshuhudia mara kadhaa raisi wa nchi yetu akiwapungia wananchi wake kwa kuanza mkono wa kushoto! Mara ya kwanza nlikuwa nkihisi kajisahau lakini baada ya kufanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua ni makusudi tu, make si hali ya kawaida katka maadili ya watz ni ishara ya dharau. Naombeni wana jamii mnijuze kama Raisi anatudharau au amepewa miiko kuwa always atupungie mkono huu mbaya... Natoa hoja wenzangu Asanteni kwa jadili hili kwa hekima bila ugomvi