Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nilikuwa nafikiria fikiria hapa kuona ni kiongozi gani amewahi kuonesha umuhimu wa maktaba kwa watoto wetu vijana na hata watu wazima. NI watu wazima wangapi ambao wanatembelea maktaba? Ukiondoa maktaba za balozi mbalimbali je jiji la Dar lina maktaba za kutosha na zenye hadhi ya kutosha?
Kwanini kila halmashauri nchini isitakiwe kwa lazima kuwa na maktaba yake ambayo inawekewa kiwango cha chini cha uwepo wa vitabu, kompyuta, nafasi n.k?
Hili wazo limenijia baada ya kufikiria ahadi ya Rais kujenga maabara katika kila shule na kila mwanafunzi wa sekondari kupata kompyuta shuleni hapo - nadhani hili la pili alikosea ulimi tu maana sidhani hata nchi zilizoendelea zimewahi kufanikiwa katika hilo.
HIZI NDIZO MAKTABA ZA MIKOA (Mikoa 18 ina maktaba kati ya 27)
National Central Library, Dar es salaam
Head Quarter
National Central Library, Dar es salaam
Bibi Titi Mohamed Road,
P. O. Box 9283, Dar es Salaam
Tel.: (255) 022-2150048/9
E-mail: (JavaScript…
Arusha
Arusha
Uhuru / Sokoine street,
P.O. Box 1273 Arusha,
Tel: (255) 027-252642
E-mail: (JavaScript must be enabled to view this email address)
Dodoma
Dodoma
Dar es salaam road,
P.O. Box 1900, Dodoma
Tel.:
Iringa
Uhuru Street,
P.O. Box 172, Iringa
Tel.: (255) 026-2702421
Kigoma
Lumumba Road,
P.O. Box 933, Kigoma
Tel.: (255) 028-2803168
Kagera
Kagera
P.O. Box 321, Kagera,
Tel.255) 028-2220460
Lindi
Lindi
P.O. Box 443, Lindi
Tel.: (255) 023-2202156
Mara
Jamat Khana Street,
P.O. Box 874, Musoma
Tel.: (255) 028-2622183
Kilimanjaro
Kilimanjaro
Kibo Road,
P.O. Box 863, Moshi
Tel.: (255) 027-275432
Morogoro
Morogoro
Old Dar es salaam Road,
P.O. Box 858, Morogoro
Tel.: (255) 023-2602160
Mtwara
Mtwara
Uhuru Street,
P.O. Box 37, Mtwara
Tel.: (255) 023-2333352
Mbeya
Mbeya
Maktaba Street, P.O. Box 842, Mbeya
Tel.: (255) 025-2502589
Mwanza
Station Road,
P.O. Box 1363, Mwanza
Tel.: (255) 028-41895
Rukwa
Rukwa
Msakila Road
P.O. Box , Sumbawanga
Tel.: (255) 025-282259
Ruvuma
Ruvuma
Sokoine Road,
P. O. Box 929, Songea
Tel.: (255) 025-2602041
Shinyanga
Shinyanga
P.O. Box 804, Shinyanga
Tabora
Tabora
Lumumba Street,
P.O. Box 432, Tabora
Tel.: (255) 026-6099
Tanga
Tanga
Uhuru Street,
P.O. Box 5000, Tanga
Tel.: (255) 027-2643127
Na hizi ni MAKTABA ZA WILAYA (11 kati ya wilaya 127)
Biharamuro
Biharamuro
P.O. Box 146,
Tel.: (255) 023-2623047
Bagamoyo
Bagamoyo
P.O. Box 287, Bagamoyo
Tel.: (255) 02440427
Kilosa
Kilosa
P.O. Box 146, Kilosa
Tel.: (255) 023-2623047
Kwimba
P.O. Box 25, Ngudu
Lushoto
Lushoto
P.O. Box 240, Lushoto
Makete
Makete
P.O. Box 10, Makete
Mbozi
Mbozi
P.O. Box 227, Mbozi
Tel.255) 025 2580088
Mufindi
Mufindi
P.O. Box 223, Mufindi
Njombe
Njombe
P.O. Box 179,
Tel.: (255) 026 2782135
Pangani
Pangani
P. O. Box 31, Pangani
Tunduru
Tunduru
P. O. Box 40, Tunduru
Unaweza kupata taarifa zaidi kuhusu Maktaba zenu: http://www.tlsb.co.tz
Kwanini kila halmashauri nchini isitakiwe kwa lazima kuwa na maktaba yake ambayo inawekewa kiwango cha chini cha uwepo wa vitabu, kompyuta, nafasi n.k?
Hili wazo limenijia baada ya kufikiria ahadi ya Rais kujenga maabara katika kila shule na kila mwanafunzi wa sekondari kupata kompyuta shuleni hapo - nadhani hili la pili alikosea ulimi tu maana sidhani hata nchi zilizoendelea zimewahi kufanikiwa katika hilo.
HIZI NDIZO MAKTABA ZA MIKOA (Mikoa 18 ina maktaba kati ya 27)
National Central Library, Dar es salaam
Head Quarter
National Central Library, Dar es salaam
Bibi Titi Mohamed Road,
P. O. Box 9283, Dar es Salaam
Tel.: (255) 022-2150048/9
E-mail: (JavaScript…
Arusha
Arusha
Uhuru / Sokoine street,
P.O. Box 1273 Arusha,
Tel: (255) 027-252642
E-mail: (JavaScript must be enabled to view this email address)
Dodoma
Dodoma
Dar es salaam road,
P.O. Box 1900, Dodoma
Tel.:
Iringa
Uhuru Street,
P.O. Box 172, Iringa
Tel.: (255) 026-2702421
Kigoma
Lumumba Road,
P.O. Box 933, Kigoma
Tel.: (255) 028-2803168
Kagera
Kagera
P.O. Box 321, Kagera,
Tel.255) 028-2220460
Lindi
Lindi
P.O. Box 443, Lindi
Tel.: (255) 023-2202156
Mara
Jamat Khana Street,
P.O. Box 874, Musoma
Tel.: (255) 028-2622183
Kilimanjaro
Kilimanjaro
Kibo Road,
P.O. Box 863, Moshi
Tel.: (255) 027-275432
Morogoro
Morogoro
Old Dar es salaam Road,
P.O. Box 858, Morogoro
Tel.: (255) 023-2602160
Mtwara
Mtwara
Uhuru Street,
P.O. Box 37, Mtwara
Tel.: (255) 023-2333352
Mbeya
Mbeya
Maktaba Street, P.O. Box 842, Mbeya
Tel.: (255) 025-2502589
Mwanza
Station Road,
P.O. Box 1363, Mwanza
Tel.: (255) 028-41895
Rukwa
Rukwa
Msakila Road
P.O. Box , Sumbawanga
Tel.: (255) 025-282259
Ruvuma
Ruvuma
Sokoine Road,
P. O. Box 929, Songea
Tel.: (255) 025-2602041
Shinyanga
Shinyanga
P.O. Box 804, Shinyanga
Tabora
Tabora
Lumumba Street,
P.O. Box 432, Tabora
Tel.: (255) 026-6099
Tanga
Tanga
Uhuru Street,
P.O. Box 5000, Tanga
Tel.: (255) 027-2643127
Na hizi ni MAKTABA ZA WILAYA (11 kati ya wilaya 127)
Biharamuro
Biharamuro
P.O. Box 146,
Tel.: (255) 023-2623047
Bagamoyo
Bagamoyo
P.O. Box 287, Bagamoyo
Tel.: (255) 02440427
Kilosa
Kilosa
P.O. Box 146, Kilosa
Tel.: (255) 023-2623047
Kwimba
P.O. Box 25, Ngudu
Lushoto
Lushoto
P.O. Box 240, Lushoto
Makete
Makete
P.O. Box 10, Makete
Mbozi
Mbozi
P.O. Box 227, Mbozi
Tel.255) 025 2580088
Mufindi
Mufindi
P.O. Box 223, Mufindi
Njombe
Njombe
P.O. Box 179,
Tel.: (255) 026 2782135
Pangani
Pangani
P. O. Box 31, Pangani
Tunduru
Tunduru
P. O. Box 40, Tunduru
Unaweza kupata taarifa zaidi kuhusu Maktaba zenu: http://www.tlsb.co.tz