Hapo ni kama mwambao mwa ziwa tanganyika maeneo ya kigoma kule..hiyo itakuwa ni kayoga....mkuu hapo ni maeneo ya pwani........, so i think ni MNAZI huo.......!
Hapo ni kama mwambao mwa ziwa tanganyika maeneo ya kigoma kule..hiyo itakuwa ni kayoga....
Maeneo ya ziwani haya!..Mkuu, acha kuzuga bana...Hii ni Rubisi!
Rubisi shurti na rusheke ya kuvutia!!Maeneo ya ziwani haya!..Mkuu, acha kuzuga bana...Hii ni Rubisi!
mitaa ya kibirizi?? Kayoga ahahaaa!
BTW: Ni Bagamoyo hapa
Ni juice ya ukwaju