Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Wewe kama hujui historia kaa kimya, ukatoliki uliingia visiwani Zanzibar miaka ya 1870!Uhalali wa kutoka kwenye makabrasha ya CIA? tuoneshe uhalali wa kutoka Serikali ya Zanzibar na Tanganyika.
Kama hauna, kaa kimya. Unajuwa sana kuwa huu ni muungano ulioshadidiwa na Nyerere kwa sababu ya kueneza Ukatoliki Zanzibar.