safi sana.mwanamme unatakiwa utembee na silaha walau fimbo au kisu.lakini kama utapata mashine kama hiyo...fine.waliokwenda yemen na afghanistan ni wazoefu wa kutembea na vitu hivyo.
Old fashioned world of hooligans. Kwa dunia ya leo, mwanaume ni yule awezaye kuitunza vyema familia yake kwa kuipatie mahitaji muhimu na ustawi.
Maisha hayo ni sawa na wanyama hayawani. Pundamilia hali majani yake kwa amani kwa hofu ya Yanga na Chui wanaorandaranda mwituni wakimuwinda.
Nguvu ya Mungu yahitajika hapo, nisamehe kama nimeongea vitu ambavyo huelekei kuvielewa.