Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Madakatari;
Wakati tukiwa wadogo na tunaendelea kukua tulikuwa tukiambiwa kuwa baada kujisaidia ni muhimu sana kuchughulia uone kinyesi chako kilivyo. Ukiona kinaelea ujue huna matatizo na tumbo. Ukiona kimezama ujue kuna shida kwenye tumbo.
JF doctor saidia nijue kama hii ni imani au ni science. Kwani hii tabia nimeendeleza mpaka leo, nikijisaidia tu lazima nichungulie, hata kama choo ni cha shimo!
Wakati tukiwa wadogo na tunaendelea kukua tulikuwa tukiambiwa kuwa baada kujisaidia ni muhimu sana kuchughulia uone kinyesi chako kilivyo. Ukiona kinaelea ujue huna matatizo na tumbo. Ukiona kimezama ujue kuna shida kwenye tumbo.
JF doctor saidia nijue kama hii ni imani au ni science. Kwani hii tabia nimeendeleza mpaka leo, nikijisaidia tu lazima nichungulie, hata kama choo ni cha shimo!