Mutwale
Member
- Oct 20, 2010
- 67
- 19
Wanajanvi moto na hasira za watanzania, juu ya wanachaita dhuluma na wizi wa mchana unaotaka kufanywa na selikari kwa kupitia halmashauri ya manispaa ya Ilala! Unawaka hapa kinyerezi, raia wanamsubiri Mkurugenzi aje kutoa ufafanuzi! Lakini UMMA unaonekana kujawa na hasira!
News nyingine baada ya jamaa kuingia.
News nyingine baada ya jamaa kuingia.