HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
kaka imani yangu inasema ukimlilia MUNGU kwa dhati na yeye atagrant wish yako...na sisi tutalia kwa dhati na kumuomba awaadhibu waliomtesa ndg yetu na kwa imani niliyonayo kwa hakika dua itajibu...maana leo hii ukweli umejificha sana na hakuna dalili ya kuujua for sure, kilichobaki is just mere speculations tu, sasa kwa hii kitu ukweli utabaki wazi kabisaWewe jamaa unachekesha sana. Hiyo ahlul Ibadir yako haifanyi kazi bana.
Huyo Msangi awekewe bounty tu. Mimi hapa nipo tayari kutoa dola 500. Popote pale alipo huyo jamaa ajue kuwa yuko wanted, dead or alive.
Binafsi nikikutana naye lazima nimtwange mingumi. His ass is grass.