dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 165
Mwanasiasa mkongwe tanzania kingunge ngombale mwiru amepata aibu ya mwaka baada ya kuambulia zomea zomea alipokuja kiwangwa kuja kumnadi mgombea udiwani wa ccm kata ya kiwangwa. Mzee huyu aliyekula chumvi nyingi alishindwa kuhutubia na kuamua kuondoka bila kuongea chochote. Tafadhali magamba waacheni wazee hawa wapumzike