Kingunge naye hatimaye kaamua kuiponda Serikali ya Kikwete

yeye ndio alikuwa mshauri wao woote Mkapa, Mwinyi, Kikwete...haya maneno ilikuwa awaeleze wao na ayaseme hadharani akiwa bado ndani jungu, sasa hizi ni dua za kifaranga...
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Jamani mnashangaa kitu gani?
Tanzania kati ya watu kumi wanane ni wanafiki, sasa huyu mzee Kingunge sii pekee ni kati yetu. Hapa tuloandika kuna wanafiki vile vile sema hatujijui kama ni wanafiki kwa sababu Unafiki bila kupima madhara ni sifa kwa Mtanzania!
 
yeye ndio alikuwa mshauri wao woote Mkapa, Mwinyi, Kikwete...haya maneno ilikuwa awaeleze wao na ayaseme hadharani akiwa bado ndani jungu, sasa hizi ni dua za kifaranga...
NDO MAMBO YA CCM HAYO, kilicho na mwanzo hakikosi kuwa na mwisho,kama ccm haktojipanga vzri basi maandiko yatatimia(changes is possible 2015)
 
Anadai baada ya kutangazwa azimio la arusha lililopelekea kutaifishwa mabenki, dada ya alimfuata na kumwambia wagawe hela zilizotaifishwa kwenye mabenki. Pia amesema alishawahi kupendekeza maadhimisho ya nyerere yawe siku ya kuzaliwa kwake na sio siku aliyofariki lakini hakusikilizwa (things as usual).
 
Mzee Kingunge kweli amechoka kabisa,hata fikra zinapotea sasa...suala si rasilimali watu ni uwezo kifedha na technologia...hao vijana watapata ajira njia moja ama ingine kupitia hayo mashamba...kwani mapori yameisha ??vijana hawayaoni??apumzke tu huyo mzee
 
Mimi aliniacha hoi sana pale alipo malizia kwa kusema Chama kijisafishe ili kiendelee kutawala .Shivji akasema hataki kutawaliwa anataka kuongozwa .Yaani kuongea kote akawa anapigia chapuo CCM kupewa nafasi ya kuongeza ndiyo nilijua kweli kwamba ukija nyama ya nyani hutaacha kulambalamba vinyama vya wanyama wengine .
 
katika hotuba za kigoda cha mwalimu nyerere, mzee kingunge ngombale mwiru amesema ni aibu kwa serikali kuleta wawekezaji kwenye kilimo wakati wapo vijana watanzania walio maliza chuo kikuu wanazurura mtaani bila ajira. Hao wawekezaji wanachuma hapa wanapeleka nchini kwao.

Akasema ni kama kwenda kuleta maji mbali wakati yapo hapa hapa.

Pia amesema kuna viongozi wa chama na serikali wanamiliki ardhi kubwa wakati wapo wananchi wengi hawana ardhi.
huyu mzee njaa inamsumbua asepe mbele hivi bado hajafa tu hao vijana atawapa mtaji alikuwa wapi kuwasidia vijana yeye na butiku wote wivu unawasumbua butiku alipeta wakati wa mwalimu sasa awaache wengine wapete
 
Jamani mnashangaa kitu gani?
Tanzania kati ya watu kumi wanane ni wanafiki, sasa huyu mzee Kingunge sii pekee ni kati yetu. Hapa tuloandika kuna wanafiki vile vile sema hatujijui kama ni wanafiki kwa sababu Unafiki bila kupima madhara ni sifa kwa Mtanzania!


Chukua tano mzee mwenzangu .Yaani umegonga ndipo mkuu .
 
katika hotuba za kigoda cha Mwalimu Nyerere, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amesema ni aibu kwa serikali kuleta wawekezaji kwenye kilimo wakati wapo vijana watanzania walio maliza chuo kikuu wanazurura mtaani bila ajira. Hao wawekezaji wanachuma hapa wanapeleka nchini kwao.

Akasema ni kama kwenda kuleta maji mbali wakati yapo hapa hapa.

Pia amesema kuna viongozi wa chama na serikali wanamiliki ardhi kubwa wakati wapo wananchi wengi hawana ardhi.

Wachovu kweli wazee hawa! Si hawa hawa walikuwa wasaidizi wa karibu wa Mwalimu na unafiki wao hadi kusababisha kutofanikiwa kwa sera sahihi za Ujamaa na Kujitegemea? Wasitukumbushe tuna hasira nao!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
kama huyu mzee alikuwa mnafiki ujanani sasa kabakiza hatua ya mwisho ambayo ni kuwa mchawi haya kazi kwake
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sijaisoma yote, kwani mwandishi kaanza kwa kukosea, kinginge hakuwahi kuwa waziri wakati wa nyerere wala mwinyi,

Wewe ndiye uliyekosea kimsingi.Mwandishi yuko sahihi kabisa!Kingunge ameshawahi kuwa waziri katika awamu zote za Nyerere na Mwinyi,kumbuka enzi zile alishawahi pia kuwa waziri asiye na wizara maalum.
 
Ukisoma katikati ya maandishi utaona Kingunge ana ajenda ya kumuanda kijana au damu mpya yenye mawazo mapya kwa ajili ya urais 2015.Swali je kijana yupi anamuandaa?
 

From muasisi wa taifa to wakili wa mafisadi.


You are just and right. Mtu mwenye akili timamu hawezi kumsikiliza Kingunge hata kidogo hata akisema ukweli, aliitisha mkutani palem idara ya habari maelezo kutuongopea watanzania na kutufanya wajinga, how can we trust him now?? Ni afadhari akae kimya aendelee kulinda heshima yake.
 
Nyerere angekuwa anarudi angekatandika viboko 9 cha kumi akasimulie mkewe, aka kazee kamewakumbatia sana mafisadi hata mwane kinje ametumiwa sana kama mamruki
 
katika hotuba za kigoda cha Mwalimu Nyerere, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amesema ni aibu kwa serikali kuleta wawekezaji kwenye kilimo wakati wapo vijana watanzania walio maliza chuo kikuu wanazurura mtaani bila ajira. Hao wawekezaji wanachuma hapa wanapeleka nchini kwao.

Akasema ni kama kwenda kuleta maji mbali wakati yapo hapa hapa.

Pia amesema kuna viongozi wa chama na serikali wanamiliki ardhi kubwa wakati wapo wananchi wengi hawana ardhi.

Sasa hivi nasubiria JK aiponde serikali,kama huyu mzee nae kaanza nadhani kabakia JK tu tumalize kazi.....
 
  • Thanks
Reactions: Ame
katika hotuba za kigoda cha Mwalimu Nyerere, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amesema ni aibu kwa serikali kuleta wawekezaji kwenye kilimo wakati wapo vijana watanzania walio maliza chuo kikuu wanazurura mtaani bila ajira. Hao wawekezaji wanachuma hapa wanapeleka nchini kwao.

Akasema ni kama kwenda kuleta maji mbali wakati yapo hapa hapa.

Pia amesema kuna viongozi wa chama na serikali wanamiliki ardhi kubwa wakati wapo wananchi wengi hawana ardhi.

Aungane basi sisi wana CDM katika mbio za kukamata dola tuweze kuja na sera sahihi zinazoweza tengeneza ajira kwa vijana wote huku tukiwakaribisha wawekezaji kwakufuata misingi na sheria za nchi zinzozingatia uzalendo....

Wawekezaji si wabaya hata China wapo; lakini wanakujaje? Mpaka watoe 10% na kupewa mikataba ya siri inayozingatia msalahi ya viongozi walafi badala ya maslahi ya umma? Huwezi kupata wawekezaji wenye akili kwa mtindo huo zaidi ya mafia ambao wanaweza linda mitaji yao kwa nguvu za kiovu na si principle za kibiashara never!

CDM hatukatai wawekezaji bali tunakata usiri unaofanywa na viongozi walafi ili kulinda mslahi yao na vizazi vyao huku majority wakibaki hawana pa kupata basic needs za food; clothing; shelta na love (democracy)!
 
Wewe ndiye uliyekosea kimsingi.Mwandishi yuko sahihi kabisa!Kingunge ameshawahi kuwa waziri katika awamu zote za Nyerere na Mwinyi,kumbuka enzi zile alishawahi pia kuwa waziri asiye na wizara maalum.

Inamaana alikuwa anazungukia kila wizara?
 
There is something going on na sijui kwa uhakika ni kitu gani.

However kumekuwa na wimbi ambalo watu waliomo kwenye basi(ccm) kama vile wanataka kushuka flani hivi na wengine kupiga kelele za wapi dereva anawapeleka.Sababu kusema ukweli sizijui kwasababu wanamfahamu dereva fika na uendeshaji wake waliubariki na kuendelea kuubariki until now.

Ni wazi kuna dalili zilizowafanya watoe matamko haya.

Binafsi nadhani labda wameambiwa kuwa hawabebeki tena kwenye uchakachuaji.Wameona noma inakuja sasa wanajijengea mazingira ya sintofahamu.Ooh tulisema dereva hafai,ooh hatukupenda uendeshaji wake.

Kwa upande mwingine naona kama wanajiweka kwenye nafasi ya kuget along na atakeye msucceed JK.
Wanadhani sisi ni kama "Mbwa" hivyo miluzi mingi itatuchanganya.
 
Back
Top Bottom