Atueleze mradi wake aliokuwa anafisadi Ubungo stend ya mabasi, na maegesho ya magari mjini.
yeye anafikiri hatujui kashfa zake na mwanaye Kinje anavyofanya vurugu kwa kudai yeye yupo juu ya sheria?
Zeeka vizuri Kingunge
Mzee Kingunge amekuwa mzigo na anakichafua chama na kutuchefua wanachama.
Suala la ufisadi linapita uwezo wake wa kufikiri,kuuchambua na hata kuuchukulia hatua.
He is a spent force,akae kimya na kula pensheni yake tu.