Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.
my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.
my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.