Kingine Kilichochangia kumwangusha Dr. Slaa ni hiki hapa

Johnsecond

JF-Expert Member
May 4, 2010
1,076
211
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.
 
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.
Hizi ni katika propaganda au cheap-politics ambazo zimepandwa na wanaccm, kuwa chama hicho hakiwezi kung'oka madarakani hata iweje.
Mifano ni mingi inayopinga dhana hii, mimi naamini kuwa mtu kutopiga kura ni ukosefu wa uelewa, period!
 
malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

My take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na ccm.

mkuu hata mimi nina notion hiyo inahitajika nguvu ya ziada kulileta kundi hili kwenye sanduku la kura
 
wewe uliyeweka hii mada nadhani hauko makini cuz kuna vijana wengi majina yao hayakuwekwa kwenye orodha ya wapiga kura..........acheni maneno yenu ya uongo uongo........
 
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.

Huu ni upupu tu.Mtoa hoja umetuletea nadharia ya nzuri ambazo hazina uthibitisho. katika uchaguzi huu kulikuwa na dosari kuu mbili ambazo mpka sasa NEC haijatoa meelezo mazuri kama majibu halali. Kwanza, kulikuwa na tatizo katika suala la idadi ya wapiga kura, yaani waliojiandikisha kupiga kura ni wangapi? (Tume ilitaja Milioni 19). lakini swali kuhusu idadi hiyo ni kuwa je, inawezekana kuwa nusu ya Watanzania ni wapiga kura?(Tume wamekaa kimya). Pili, daftari la wapiga kura halikuwa wazi mapema na hatimaye wengi hawakuona majina yao na hawakusaidiwa.Je, Tume ilijibu nini kuhusu hilo?
 
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.

Kama huna jipya si bora usome hoja za watu wengine ukala jiwe kama wengi wafanyavyo??
Hapo juu hamna kitu kabisa analysis za kizamani za CCM.

CCM ilishinda ndiyo kwa ninimsitangazie hayo matokeo kwenye majimbo???
 
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.

Mkuu ukifahamu matokeo halisi unaweza kuona kuwa CAHDEMA walifanya kila wanaloweza, hawakuharibu kama watu wanavyodhani. Pamoja na nguvu yooote ya dola, na kuzuia potential voters wa CHADEMA bado matokeo ni mzuri. Muhimu ni kuwa somehow mafisadi waliona ni vigumu sana kukubali upinzani uingie madarakani. Jaribu ku-imagine Lowassa, Mramba, Chenge, Rostam etc etc wangekuwa katika hali gani kama opposition wangeshinda, huenda wengine wangekimbia nchi?? nchi ingekuwa tofauti sana sasa. Hata kama mimi ningekuwa fisadi ningechakachua tu.
 
Msimlaumu mleta mada, kuna ukweli kiasi fulani kuwa kuna watu hawakuenda kupiga kura kisa CCM i ngeshinda tu. Sababu ziko nyingi.
 
Haya ndiyo nayaona yalichangia kwa mtazamo wangu
1. Idadi inayosemwa ya waliojiandikisha inatia shaka sana, kuna namba nyingi sana hapo katikati hazina watu, kwa mfano kwenye kituo changu kuna namba zaidi ya mia mbili ziko empty, Kuna haja ya NEC kulifanyia kazi hili, vinginevyo ni kujidanganya kwamba tuna wapiga kura zaidi 19ml.

2. Hakuna uwanja sawa kwenye siasa za Tanzania kuanzia ngazi za chini kabisa, mfano, Msimamizi wa uchaguzi Kata ni mtendaji kata, wilaya ni mkurugenzi wa Wilaya, wote hawa wanapatikana kisiasa (kutokana na chama tawala), huko juu NEC Taifa sina haja ya kueleza.

3. Kuchelewa kubandikwa kwa majina ya wapiga kura vituoni ili yahakikiwe mapema, hii ingetoa muda wa kutosha kurekebisha kasoro zilizojitokeza.

4. Kulikuwa na hali tete siku za mwisho za kampeni hali iliyopelekea baadhi ya wapiga kura (Hasa wazee na kina mama) kutojitokeza kwa wingi kupiga kura kwa hofu kwamba huenda uchaguzi ungekuwa na vurugu.

5. Elimu ya uraia kwa wapiga kura pamoja na wale walioteuliwa kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

6. Uwezo wa kifedha wa vyama vya upinzani kulinganisha na ule wa CCM ( ilipelekea baadhi ya maeneo kutokuwa na mawakala wa vyama vya upinzani hivyo kurahisisha uchakachuaji wa kura)
 
Malalamiko ya wanaharakati wengi na waangalizi wa kimataifa walisema kuwa watu waliojiandikisha na waliopiga kura kuna tofati kubwa sana. Yaani waliojitokeza ni wachache sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Swala ni kwamba wengi hawakujitokeza kwa kuwa walisema hata wakimpigia kura Dr. Slaa matokeo hayatabadirika. Slaa jipange kulipeleka kundi hili kupiga kura next uchaguzi na watanzania woote wapenda mabadiriko tujipage vizuri.

my take: ambao hawakupiga kura walio wengi ni kwa sababu wamechoshwa na CCM.

Naona mko wengi mliopewa kazi ya kuwarudhisha wananchi baada ya kuona rafu za kipindi hiki zilikuwa na kufuru Mungu...:rip:mkuu
 
Back
Top Bottom