Mkuu kuna facebuku page niliiona wanasema satelite inayotumika kurusha matangazo yao na ting imepotelea angani na wala uwezekano wa kuipata haupo hivyo wanahamishia ktk satelite nyingine na wanatarajia kuwa hewani ifikapo Dec,mosi.
Setraity yao imepotea angani hawajaipata
Mkuu kuna facebuku page niliiona wanasema satelite inayotumika kurusha matangazo yao na ting imepotelea angani na wala uwezekano wa kuipata haupo hivyo wanahamishia ktk satelite nyingine na wanatarajia kuwa hewani ifikapo Dec,mosi.
Setraity yao imepotea angani hawajaipata
Hawa waisrail wamechemka kuipata