Ndugu wana jamvi hivi karibuni nimenunua king'amuzi cha coconut huku zanzibar maana kwa kipindi hili nipo huku visiwani yaani kimekaa kitapeli zaidi maana hakuna lolote linaloendelea yaani tumelipia laki moja lakini hatupati channel hata moja ipo kama mtandao wa tigo unaingia na kutoka unaona robo saa inakosa kuona masaa 6 yaani tabu tupu