Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Wakuu Heshima kwanza
Napenda kuwauliza hivi Tanzania tunayo kinga ya Malaria inayotolewa na Hospital zetu kwani nauliza hivyo nimeona nchi nyingine naomba kuwauliza ili nijue inatolewa wapi???? niwaangizie Familia waende wakapate kinga. Madokta wekeni hoja
Napenda kuwauliza hivi Tanzania tunayo kinga ya Malaria inayotolewa na Hospital zetu kwani nauliza hivyo nimeona nchi nyingine naomba kuwauliza ili nijue inatolewa wapi???? niwaangizie Familia waende wakapate kinga. Madokta wekeni hoja