Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Mkimshtaki Mkapa mtapata nini? Je ndo ita-solve solution ya wizi wa mali za umma? Tatizo sio Mkapa, tatizo ni system ya utendaji Tanzania. Wafanyakazi wa Umma ni waoga. Kwa nini waoga? Ni kwa sababu nchi yetu haina msingi mzuri wa sheria.
Kuna watu kibao wanaojua haya maovu yanayoendelea kila siku. Bila kuwapa hawa watu sauti za kuongea ni bure tu!
Mtapelekana mahakamani na kulana pesa! Narudia tena, Nchi inahitaji misingi bora ya sheria kwa kusudi la kuendelea. Bila misingi ya sheria, wakubwa wataendelea kunyonya wanyonge. Ivi Tanzania kuna Legal Aid?
Kuna watu kibao wanaojua haya maovu yanayoendelea kila siku. Bila kuwapa hawa watu sauti za kuongea ni bure tu!
Mtapelekana mahakamani na kulana pesa! Narudia tena, Nchi inahitaji misingi bora ya sheria kwa kusudi la kuendelea. Bila misingi ya sheria, wakubwa wataendelea kunyonya wanyonge. Ivi Tanzania kuna Legal Aid?