ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
wengiene hawataki kuamini kwamba hakuna social media hapa bongo bila this young man aitwaye william aka Billy aka sauti ya umeme,sukari ya warembo,le baharaia himself.katupia vi icons vyote vya social media kudhihirisha kwamba he runs Tz kwenye mambo ya mitandao.
FYI: hiyo picha jamaa aliyechora kalipwa mkwanja mrefu wa sh 400,000 na le field marshall a.k.a mjumbe wa jumuiya ya wazazi ya CCM ingawa yuko kwenye late 30's alipoulizwa juu ya kulipa mkwanja mrefu namna hiyo kwa hiyo picha alijibu"ma men,namilik
swahili tv,nina blog,Iam a media mogul,nyie nifatilieni maisha yangu ila mimi na make money and Iam humbled,you know tena kwa taarifa yenu nyumba ya kinyerezi nauza najenga bonge la nyumba huko boko"
FYI: hiyo picha jamaa aliyechora kalipwa mkwanja mrefu wa sh 400,000 na le field marshall a.k.a mjumbe wa jumuiya ya wazazi ya CCM ingawa yuko kwenye late 30's alipoulizwa juu ya kulipa mkwanja mrefu namna hiyo kwa hiyo picha alijibu"ma men,namilik