Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Jamaa anafaidi ile mbaya....hivi kwa nini hao Marekani wasimQattafi huyu fisadi wa ngono.....
Na bado utakuta ana vimada kibao nje atakuwa anasaidiwa tu huyu kuna waziri wake mmoja amejiuzulu kwa kashfa ya kummega mkewe
Wivu tu unakusumbua wewe,ungekuwa wewe ungeviacha vitoto mmwaaaa like that< au kwa sababu ni yeye sio wewe? naombea ningekuwa mimi wachaa,cheki kitoto as if kimechongwaJamaa anafaidi ile mbaya....hivi kwa nini hao Marekani wasimQattafi huyu fisadi wa ngono.....
Huyo ni binti yake si mke wake na hapo ilikuwa ni sherehe ya kuzaliwa binti huyu. angalia wanavyofanana.
Hivi binti yake nae huwa anapanga foleni kusubiri bahati imwangukie?
huyo ni binti yake wa kwanza sio mkewe... soma hapa http://www.google.de/url?sa=t&rct=j&q=king mswati princess sikhanyiso&source=web&cd=7&ved=0CFYQFjAG&url=http%3A%2F%2Fwww.thelondoneveningpost.com%2Fbusiness%2Ftime-for-intensive-care-for-swaziland%2Fking-mswati-lll-and-his-daughter-princess-sikhanyiso-take-part-in-the-traditional-reed-dance-in-swaziland%2F&ei=L5vsTu-OB-Xe4QSp0qCFCQ&usg=AFQjCNEu0zo3IxcghRj6GcRKrpaLTMSHyA
Mrembo wa ukweli