Hatujuwani
Member
- Oct 11, 2011
- 51
- 10
Habari wJF,
Naomba kujuwa jamani huyo jamaa mwenye hii user name (KING KONG III) ana share/hisa yoyote kwenye hii jamii forum?
Maana kila nikifunguwa thread yoyote ile lazima nikute yeye ndiye mchangiaji wa kwanza au wa pili kwenye thread.
Naomba kujuwa jamaa ana hisa asilimia ngapi? Au ni mimi tu nina bahati mbaya naye!!!!!!
Naomba kujuwa jamani huyo jamaa mwenye hii user name (KING KONG III) ana share/hisa yoyote kwenye hii jamii forum?
Maana kila nikifunguwa thread yoyote ile lazima nikute yeye ndiye mchangiaji wa kwanza au wa pili kwenye thread.
Naomba kujuwa jamaa ana hisa asilimia ngapi? Au ni mimi tu nina bahati mbaya naye!!!!!!