Mopao Josee
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 280
- 1
Hatuna wanamuziki tuna genge la waropokaji except AY,FA na PROF.
duh, sauti mbaya mkuu!,
utakuaje mwanamziki na sauti lina kigugumizi, sauiti linakwaruza kama la Gamba bana, aaarrrghh.
hahaaaa, ile sauti alikua anamuiga noniliiii huyu wa usa usibishe!.GP wajua kila mtu ana uzuri wake kama wewe unaona sauti yake feki mie ilikuwa inavutia hahahaha ..
i like it