jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Nani ana uhakika kuwa huyu Nguli ndo GK? Ama kwasababu jina "Nguli" limetajwa na mtoa mada?Kweli jamii forums ni sawa kabisa na jamii yetu,unapita mtaani mtu na karata tatu watu hao,na wanaliwa,unashangaa,ala!awa watu wanaonekana kama wana akili timamu kabisa,unajiuliza "Inakuwaje?"Unajijibu..."Ni wadanganyika" teh teh teh!
Licha ya kwamba sikatai moja kwa moja kuwa nguli ndo GK,bado sijashawishika moja kwa moja kujiunga na mjadala na kua assume kuwe Nguli ni GK.
Ah!
Licha ya kwamba sikatai moja kwa moja kuwa nguli ndo GK,bado sijashawishika moja kwa moja kujiunga na mjadala na kua assume kuwe Nguli ni GK.
Ah!