KING' AMUZI cha STARTIME MFT930

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wadau wa tek Salaaaam
Nimepata challenge moja sasa kabla sijatafuta mtaalam naomba kama kuna mwenye ujuzi anipe maelekezo nijaribu kuyafuata nione kama naweza kurekebisha hili tatizo.

Tatizo Gani?

King'amuzi cha startime mft 930 kilikuwa kinapokea vizuri matangazo na kuonyesha channle kibao za FTA ( Free to air) Kama ITV, Statv.

Ghafla jana tu najaribu kucheki nakutana na ujumbe No channel available.

Mtazamo wangu
kuna mtoto mtundu mtundu aalichezea remote na kubalisha au ufuta baadhi a setting. Hii ndo inanifanya niombe kma kuna mwenye maujuzi na anayefahamu configurations za vingamuzi vya startimse adondoshe kwenye uzi huu nione kama DIY ( Do It Yourself) itatatua tatizo

Vile vile kama kuna mwingine ana soft copy ya manual ya king'amuzi hiki au anajua kiunganishi wapi naweza kuidaka manual au tech documentation ya startimes mft 930 basi anidodoshee hapa.


Natanguliza shukrani
 
Mhhh kweli nimechemsha. sio startime ni Mediacom. Wakuuu juu hapo na wengine wataosoa huzi huu mniwie radhi. Neno startime liwe replaced na Mediacom.
 
Mhhh kweli nimechemsha. sio startime ni Mediacom. Wakuuu juu hapo na wengine wataosoa huzi huu mniwie radhi. Neno startime liwe replaced na Mediacom.
Hacha fiksi kamanda hizo chanel hukuwanazo kwenye startime!!
sasa kujiuma uma kote kwanini? si ungetumia lugha nyepesi kuwa waomba maujanja ya kupata local channel kwenye mchina wako
 
Hacha fiksi kamanda hizo chanel hukuwanazo kwenye startime!!
sasa kujiuma uma kote kwanini? si ungetumia lugha nyepesi kuwa waomba maujanja ya kupata local channel kwenye mchina wako

Noted Mr Kicheko.

Lakini sasa ambacho hukuelewa kwenye comment Number 5 ni nini??!!!!! :shock: Kama na wewe kiswahili uelewi vizuri nitajitahidi japo kwa kuchapia chapia ni tafsiri commnet number tano kwa lugha unayotaka mkuu.
 
Hacha fiksi kamanda hizo chanel hukuwanazo kwenye startime!!
sasa kujiuma uma kote kwanini? si ungetumia lugha nyepesi kuwa waomba maujanja ya kupata local channel kwenye mchina wako

Kujulikana JF sio kukomoa au kuponda Comment za watu wengine .... Na kama huna cha Kuongea JF .. bora Unyamaze au Usi Log in ili usicoment ... Sio unaleta Uzoba wako hapa ... Jiheshim
 
Pole sana ungesema unatumia dish na receiver ya Media com ungeshapata msaada. Fuata haya maelezo ili kuweza kurudisha channel zako.
1.Bonyeza menu then nenda installation settings kama itahitaji password jaribu 0000
2.Then chagua manual search hapa naassume una LNB moja tu. Angalia pembeni utaona option inasema add transponder na rangi yake pembeni. Kama sikosei ni kijani. Bonyeza kitufe cha rangi hiyo kwenye remote zile button za chini kabisa.
3. Cna uhakika sana lakini angalia onscreen instruction na kubonyeza rangi ya button ktk remote yako. Hadi utafika sehemu ya kujaza settings.
4.Freq nitakupa chini hapo. Kwenye frequency jaza namba za kwanza, kwenye symbol rate jaza namba za mwisho, halafu kwenye polarization kama n V jaza Vertical na H-horizontal.
5.Kama ukiweka polarization niliyotoa ikakataa waweza badili. Na ukibadili ikakubali jua zote lazima ubadili.
6. Kabla hujamaliza kuingiza kutakuwa na rangi moja nyekundu ikionyesha level na percent yake, kama channel imekubali itajitokeza rangi ya quality ikionyesha na percent yake. Ukiona hivyo unaweza bonyeza OK na itasearch channel na ikimaliza save. Rudia kwa channel nyingine hadi umalize.
 
Ebwana tunakuomba maelezo ya kutosha kuhusu jinsi yakuingiza chanel zilizofutika kwenye dish,receiver media com.
 
Back
Top Bottom