Kinda wawili wa Taifa stars wamkuna Arsene Wenger

Nemesis

JF-Expert Member
Feb 13, 2008
5,457
4,351
Asked who he believes the next African superstar will be, Wenger responded: “I don’t know the answer to that. There is no-one at the moment. But this World Cup will be a great opportunity to see who the next African superstar will be.

“Africa is a goldmine for football and the talent is waiting to be unearthed. The other night I watched Brazil play against Tanzania. Tanzania lost heavily, but there were two players I saw – one a Walcott type – who immediately made me say, “I need to find out more”.
Source: Arsene Wenger tips Ivory Coast, Cameroon | News - Kickoff.com/2010

ni kina nani hawa? Ngasa na Kig?
 
Good news for the boys. TFF leteni wengine pamoja na hasara zenu lakini vijana huenda wakaonwa na mascout. Na Wenger ninamuamini atafanyia kazi. He is a good Coach na anajua kuwalea walio wadogo.
 
Good stuff

I have no idea what a Walcott type is does anyone know?

I'm guessing he was impressed by Khalfan and Ngassa
 
Wakuu kwa style ya wenga ya kiuchezeshaji anapenda watu wenye speed na wepesi --- Bila kubisha atakuwa kamwona Ngassa wa pili bado nina mashaka kama ni Mgosi au Tegete.

Good news for Tanzania soccer.
 
Good stuff

I have no idea what a Walcott type is does anyone know?

I'm guessing he was impressed by Khalfan and Ngassa
..Hao wote hakuna Walcot type mbona vizee hivyo. Tena huyo Ngassa ndio hana akili kabisa si alikwenda kufanya majaribio Westharm Utd akashauriwa kuwa arudi Tanzania afanye mazoezi sana na lishe kubwa ili aongeze stamina yeye kufika bongo katafuta na demu akaoa!! Sasa anaongeza stamina au ndio anaimaliza hata hiyo ndogo aliyokuwa nayo?? Wachezaji wa Tanzania huenda vichwani mwao wanadhani mafanikio katika soka ni kulala na ukiamka basi uko Man Utd au Barca au Madrid bila kufanya juhudi, nidhamu na kufata ushauri unaopewa na watu walioko kwenye fani hiyo...Hakuna kitu hapo!!!:pound::pound::pound::pound::pound::pound:
 
..Hao wote hakuna Walcot type mbona vizee hivyo. Tena huyo Ngassa ndio hana akili kabisa si alikwenda kufanya majaribio Westharm Utd akashauriwa kuwa arudi Tanzania afanye mazoezi sana na lishe kubwa ili aongeze stamina yeye kufika bongo katafuta na demu akaoa!! Sasa anaongeza stamina au ndio anaimaliza hata hiyo ndogo aliyokuwa nayo?? Wachezaji wa Tanzania huenda vichwani mwao wanadhani mafanikio katika soka ni kulala na ukiamka basi uko Man Utd au Barca au Madrid bila kufanya juhudi, nidhamu na kufata ushauri unaopewa na watu walioko kwenye fani hiyo...Hakuna kitu hapo!!!:pound::pound::pound::pound::pound::pound:

Nadahani siyo sawa, Ngassa au Tegete bado wadogo tu kwa umri likely 23yrs. Ngassa alikosa Westham kwasababu ya mabavu (nguvu) kitu ambacho si shida kwa Wenger, pia dogo atakuwa ameshajiweka sawa baada ya kuikosa Westham. Ngassa, Kig, Tegete na Mgosi ni wachezaji wazuri sana. I hope Wenger na makocha wengine watawaangalia hawa madogo.

tuendelee kuzalisha wengine, akina Bunu (kama sikose) yule kinda aliyeibukia coca cola ya vijana akaenda Brazil.

Wasiwasi; kuondoka kwa Maximo kunaweza kudidimiza soka letu, hawa wazungu (Paulsen) si wavumilivu. Mpira wetu, utaratibu wa TFF na Serikali kwa ujumla unahitaji kocha anayejitolea kwa moyo mkuu.
 
Wenger was just joking. Hata hivo nakubaliana na mawazo ya mchumi Wenger. Africa is a untapped goldmine whereas u can chop-off and rip-off kwa kuwapa kioo cha kujiangalia na wao wakakupa dhahabu!
 
Nadahani siyo sawa, Ngassa au Tegete bado wadogo tu kwa umri likely 23yrs. Ngassa alikosa Westham kwasababu ya mabavu (nguvu) kitu ambacho si shida kwa Wenger, pia dogo atakuwa ameshajiweka sawa baada ya kuikosa Westham. Ngassa, Kig, Tegete na Mgosi ni wachezaji wazuri sana. I hope Wenger na makocha wengine watawaangalia hawa madogo.

tuendelee kuzalisha wengine, akina Bunu (kama sikose) yule kinda aliyeibukia coca cola ya vijana akaenda Brazil.

Wasiwasi; kuondoka kwa Maximo kunaweza kudidimiza soka letu, hawa wazungu (Paulsen) si wavumilivu. Mpira wetu, utaratibu wa TFF na Serikali kwa ujumla unahitaji kocha anayejitolea kwa moyo mkuu.
...Usiwape hawa vijana matumaini ambayo hayapo Nemesis. Nani alikwambia kuwa soka ya Uingereza haihitaji mabavu (nguvu) kwani hata kama Arsenal watawachukua hao akina Ngassa, Tegete, sijui nani usitegemee kuwa wataishia kuchezea Arsenal tu si watatakiwa pia kucheza hata mashindano makubwa ya ulaya? hapo huhitaji nguvu napo?? Hivi unadhani hata wale watoto kama akina Nasir, Eduardo, Arshavin, Walcot, Fabregas unadhani ni midebwedo kama hao akina Ngassa?? Jamani kwenye ukweli tuseme tuache unafiki wa kuwapa vichwa hawa wachezaji wetu. Jambo kubwa ba la wazi ni kuwa wanatakiwa kujijenga sana katika maeneo yote muhimu anayotakiwa kuwa nayo professional footballer. Habari ndio hiyo!:pound::pound::pound::pound::pound::pound::roll:
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom