Elections 2010 Kinana Vs Prof. Mwesiga Baregu leo BBC

Sakoyo

Senior Member
Aug 23, 2010
135
7
Leo wana JF Kinana kathubutu kusema Kikwete sio SIZE ya Slaa, nimekubali kwa sababu Kikwete ni "Dakta ??" na Slaa ni "Doctor PhD" ni tofauti mno kiasi kwamba hawawezi kusizeshana!
 
Leo wana JF Kinana kathubutu kusema Kikwete sio SIZE ya Slaa, nimekubali kwa sababu Kikwete ni "Dakta ??" na Slaa ni "Doctor PhD" ni tofauti mno kiasi kwamba hawawezi kusizeshana!

Msomali yule atatamka lolote kulinda maslahi yake binafsi ya kibiashara!

Ameboa sana kwenye kile kipindi, maana anabisha hadi mambo ambayo ni obvious!....Inataka moyo sana kuwa mshabiki wa ccm, maana inabidi uwe na upunguani kiasi fulani!...huh!
 
Msomali yule atatamka lolote kulinda maslahi yake binafsi ya kibiashara!

Ameboa sana kwenye kile kipindi, maana anabisha hadi mambo ambayo ni obvious!....Inataka moyo sana kuwa mshabiki wa ccm, maana inabidi uwe na upunguani kiasi fulani!...huh!

taratibu na maneno yako manyaufu
 
HTML:
taratibu na maneno yako manyaufu

icon1.gif
Tani 1.5 ya pembe za ndovu toka TZ zakamatwa Hong Kong


HONG KONG (AP) — Hong Kong customs officers have seized over one and a half tonnes of smuggled elephant ivory worth 10.9 million Hong Kong dollars (1.3 million US) shipped from Tanzania, they said Friday.


The 384 ivory tusks -- weighing 1.55 tonnes -- were found Thursday inside two containers labelled as "dried anchovies" at the Tsing Yi container terminal, the Ports and Maritime Command said in a statement.


Two men, aged 46 and 48, have been arrested as part of a continuing investigation, the statement said.


The international trade in elephant ivory, with rare exceptions, has been outlawed since 1989 after elephant populations in Africa dropped from the millions in the mid-20th century to some 600,000 by the end of the 1980s.


Anyone found guilty of importing unmanifested cargo into Hong Kong faces a fine up to two million dollars (260,000 US) and imprisonment for seven years.


In addition, those guilty of importing, exporting or possessing an endangered species for commercial purposes face a fine of up to five million dollars (640,000 US) and two years in jail, the statement said.


Kenya seized two tonnes of raw elephant ivory bound for Asian markets in August, saying it represented the country's largest recovery of elephant ivory in the recent past.
At least 4,000 elephants are killed each year across Africa to supply the illegal ivory trade, according to the conservation group WWF.
ALeqM5jlrWUqSf-bNMoRkJqEqbSxakjvnA


Nyara zilizokamatwa!

My Take:
Nilizungumza wakati ule TZ inalilia kuruhusu pembe hizi ziuzwe kihalali. Nilisema kwamba kwa vile wamekataliwa lazima itatatufwa namna tu lazima ziuzwe! Now here we are! Wameuza mbuga zetu, wameuza madini yetu, sasa na pembe zetu za ndogu wanauza kwanini wasizitekekeze kama wanavyofanya Bunduki?​
 
Hahaaaaa meli ya kwangu lakini hizo pembe sio zangu...atakuja sasa hivi na maneno haya ngoja tu
 
taratibu na maneno yako manyaufu

Sio maneno machafu ila inabidi hawa jamaa tushindwe kuwaelewa, hivi Kinana anafikiri ukiwa kiongozi wa nchi unamajukumu ya kwa wanakijiji tu? Je kwa watu wengine waliopo nje ya nchi na ambao sio waTz hawapaswi kujua uwezo wa kiongozi ktk kupangua hoja?
 
icon1.gif
Tani 1.5 ya pembe za ndovu toka TZ zakamatwa Hong Kong

HONG KONG (AP) — Hong Kong customs officers have seized over one and a half tonnes of smuggled elephant ivory worth 10.9 million Hong Kong dollars (1.3 million US) shipped from Tanzania, they said Friday.


The 384 ivory tusks -- weighing 1.55 tonnes -- were found Thursday inside two containers labelled as "dried anchovies" at the Tsing Yi container terminal, the Ports and Maritime Command said in a statement.


Two men, aged 46 and 48, have been arrested as part of a continuing investigation, the statement said.


The international trade in elephant ivory, with rare exceptions, has been outlawed since 1989 after elephant populations in Africa dropped from the millions in the mid-20th century to some 600,000 by the end of the 1980s.


Anyone found guilty of importing unmanifested cargo into Hong Kong faces a fine up to two million dollars (260,000 US) and imprisonment for seven years.


In addition, those guilty of importing, exporting or possessing an endangered species for commercial purposes face a fine of up to five million dollars (640,000 US) and two years in jail, the statement said.


Kenya seized two tonnes of raw elephant ivory bound for Asian markets in August, saying it represented the country's largest recovery of elephant ivory in the recent past.
At least 4,000 elephants are killed each year across Africa to supply the illegal ivory trade, according to the conservation group WWF.
ALeqM5jlrWUqSf-bNMoRkJqEqbSxakjvnA


Nyara zilizokamatwa!

My Take:
Nilizungumza wakati ule TZ inalilia kuruhusu pembe hizi ziuzwe kihalali. Nilisema kwamba kwa vile wamekataliwa lazima itatatufwa namna tu lazima ziuzwe! Now here we are! Wameuza mbuga zetu, wameuza madini yetu, sasa na pembe zetu za ndogu wanauza kwanini wasizitekekeze kama wanavyofanya Bunduki?​

Aibu sana. Wenye uwezo wa kufanya hayo yote ni wana-CCM tu. Tena wapo serikalini.

Lakini kama kawa CCM wanaweza simama kwenye mikutano yao ya kampeni na kusema: "Idara yetu ya Wanyamapori inafanya kazi kubwa na hivi karibuni tu ilifanikiwa kukamata nyara za serikali huko Hong Kong. Chagua CCM. Chagua kikwete. Na walalahoi watashangilia kama kawaida yao.
 
Hiyo ni sehemu tu ya Mazuri machache yaliyofanywa na serikali ya CCM kwa watanzania. Mnaonaje CCM, Kikwete tuwape kura tena kwa mazuri haya?
 
Kinana ni fisadi aliye kubuhu,yuko tayari hata kutembea kwa miguu kuikampenia ccm ili tu waendele kumlindia uchafu wake,mtanzania wa kawaida ambaye umewahi kuwa mtumishi wa serikali unapata wapi pesa ya kununua meli kama si wizi huo ?
 
Aibu sana. Wenye uwezo wa kufanya hayo yote ni wana-CCM tu. Tena wapo serikalini.

Lakini kama kawa CCM wanaweza simama kwenye mikutano yao ya kampeni na kusema: "Idara yetu ya Wanyamapori inafanya kazi kubwa na hivi karibuni tu ilifanikiwa kukamata nyara za serikali huko Hong Kong. Chagua CCM. Chagua kikwete. Na walalahoi watashangilia kama kawaida yao.

Mkuu watanzania wengi tumelala. Viongozi na wanasiasa wetu wanajua kuwa watanzania wengi bado wako usingizini. Wao si wajinga kuingia kwenye siasa.

I can assure you tutaendelea hivyo hivyo. Si mara ya kwanza kwa vipusa kukamtwa ughaibuni, na wenye vipusa ivyo wanafahamika.

Itakuwa kama EPA tu, wezi wanajulikana wanaendelea kuchaguliwa kuwa wabunge, mawaziri halafu wajinga tunaendelea kuliwa.

Angalia sehemu unayokaa, halafu niambie baada ya miaka mitano itakuwaje. I am sure itadunika zaidi.
 
Nimetafuta AMKA NA BBC ya Jumamosi sijaipata!

Kipindi cha Jmosi hakiko hewani (kwenye mtandao). Ila kwenye kipindi cha jana jioni (ambacho kipo hewani) kulikuwa na utangulizi wa hicho kipindi cha leo. Kinana alisikika amejaza upepo si kawaida!

Ndyo maana mimi nazidi kuwashauri CCM waachane na interview kwenye broadcasting media kwani zinawavua nguo na kuwaacha uchi.
 
Leo wana JF Kinana kathubutu kusema Kikwete sio SIZE ya Slaa, nimekubali kwa sababu Kikwete ni "Dakta ??" na Slaa ni "Doctor PhD" ni tofauti mno kiasi kwamba hawawezi kusizeshana!

Nimeona CNN jana usiku shehena nyingine ya MENO YA TEMBO imekamatwa huko Hongkong inawezekana msomali kasha huwa tembo wengine!
 
Back
Top Bottom