Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Subject: YAH: MWALIKO WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KESHO IJUMAA-08.10.2010
Habari za leo ndugu zangu,
Napenda kuwaalika katika mkutano na Waandishi wa habari kukutana na Mwenyekiti wa Kampeni za Urais kupitia CCM, Mheshimiwa Abdulrahman Kinana. Mkutano huu utafanyika kesho, Ijumaa tarehe 08.10.2010 saa nane (8) kamili mchana katika ofisi ndogo ya Chama cha Mapinduzi, Lumumba.
Waandishi wote wa habari na wapiga picha mnakaribishwa...
Natanguliza Shukrani..
--
Campaign Communications Team
Kikwete 2010
Habari za leo ndugu zangu,
Napenda kuwaalika katika mkutano na Waandishi wa habari kukutana na Mwenyekiti wa Kampeni za Urais kupitia CCM, Mheshimiwa Abdulrahman Kinana. Mkutano huu utafanyika kesho, Ijumaa tarehe 08.10.2010 saa nane (8) kamili mchana katika ofisi ndogo ya Chama cha Mapinduzi, Lumumba.
Waandishi wote wa habari na wapiga picha mnakaribishwa...
Natanguliza Shukrani..
--
Campaign Communications Team
Kikwete 2010