Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Leo nimejikuta nacheka sanaaa.. Mwenyekiti wa Kampeni ya Urais ya Kikwete Bw. Kinana akihojiwa mapema leo asubuhi na ITV amevisihi vyama vingine visiwaeleze sana mambo mabaya na yenye kubebesha lawama serikali ya Kikwete kwani kwa kufanya hivyo wanawachanganya wananchi.
Politics is a zero sum game. You win by making your opponent lose. And you do so by hitting hard on his/her achilles' heel.
Him (Kinana) pleading for the opposition not to tell the people about CCM's wrongs is hilarious and something I have never heard of since I started following poltics.