kakakuonap
Member
- Sep 4, 2010
- 14
- 0
Nimefuatilia kwa karibu timu ya propaganda ya chama cha chadema, magazeti wanayotumia,forum wanazotumia, ni kweli kwamba chadema wanao mtambo wa kutunga uongo. Staili ambayo Hitler yule dikteta wa ujerumani aliitumia kuivuruga amani ya Ujurumani, staili ya chadema inafanana na ile ya Hitler kwani zote zinawalenga vijana wanaotafuta ajira , watu wanaoshabikia udini na wakina mama walioachika na waume zao.