Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Wandugu
Mkakati wa kuidhibi Irani wa Marekani na washirika wake hauna tofauti na kumfungia Paka ndani
kisha uanze kumuangushia kichapo. nadhani maamuzi atakayochukua yanajurikana.
Hiki ndio hasa kinachokaribia kutokea huko Irani, Baada ya Israel kutishia kuishambulia Irani Muda
wowote na wao wamedai muda wowote wataufunga mfereji wa hormuz na kwamba wataishambulia
vilivyo nchi yoyote iliyokaribu nayo itakayokubali kutumika kuratibu harakati za kijeshi dhidi yake.
Lolote kati haya likitokea litasababisha vitu viwili
1. Ukosefu wa Mafauta kwa muda mrefu tu
2. Vita ambavyo kutokana na instability iliyotapakaa kote arabuni inaweza ikasambaa mpaka pande
zetu ama moja kwa moja ama kwa hathari za kuunga unga.
Yoyote kati ya haya yatatuletea matatizo makubwa sana, Na hapa naomba kutoa wasi wasi wangu,
Iran is weill prepared for any thing.
Naomba kwa yeyote atayepata rehema akumbuke kumsihi Mwenyezi Mungu ikiwezekana alicheleweshe
hili dhahama japo kidogo.
Sioni wakati mwingine wa vita ya dunia kutokea zaidi ya huu. sababu Binaadamu wote, kote duniani
tuko very dissatified na kila kinachoendelea. Kote duniani.
Mkakati wa kuidhibi Irani wa Marekani na washirika wake hauna tofauti na kumfungia Paka ndani
kisha uanze kumuangushia kichapo. nadhani maamuzi atakayochukua yanajurikana.
Hiki ndio hasa kinachokaribia kutokea huko Irani, Baada ya Israel kutishia kuishambulia Irani Muda
wowote na wao wamedai muda wowote wataufunga mfereji wa hormuz na kwamba wataishambulia
vilivyo nchi yoyote iliyokaribu nayo itakayokubali kutumika kuratibu harakati za kijeshi dhidi yake.
Lolote kati haya likitokea litasababisha vitu viwili
1. Ukosefu wa Mafauta kwa muda mrefu tu
2. Vita ambavyo kutokana na instability iliyotapakaa kote arabuni inaweza ikasambaa mpaka pande
zetu ama moja kwa moja ama kwa hathari za kuunga unga.
Yoyote kati ya haya yatatuletea matatizo makubwa sana, Na hapa naomba kutoa wasi wasi wangu,
Iran is weill prepared for any thing.
Naomba kwa yeyote atayepata rehema akumbuke kumsihi Mwenyezi Mungu ikiwezekana alicheleweshe
hili dhahama japo kidogo.
Sioni wakati mwingine wa vita ya dunia kutokea zaidi ya huu. sababu Binaadamu wote, kote duniani
tuko very dissatified na kila kinachoendelea. Kote duniani.