ndo maana nikasema wanavutiwa na jirani yko zaidi ya wewe.
Wanaishi na wewe kwa sababu jirani alichelewa kujitokeza.
Kwanza mimi ninatazama sura kwanza naenda kwenye shepu nakuja kwenye umakini wamtu basi ila napenda mwanamke awe black kidogo kama brown flani chocolate!!hawana lolote....umbea wao tu...
Kwanza mimi ninatazama sura kwanza naenda kwenye shepu nakuja kwenye umakini wamtu basi ila napenda mwanamke awe black kidogo kama brown flani chocolate!!
Chuchukila mwanaume yuko peculiar, so vitu vinavyomvutia viko peculiar pia
mdau kitaje utusaidie bhana unabanaHakipo hapo.Cjui kwanini umekiacha!
Wangu aliniambia ni makengeza...hasa time ya kufika kileleni
hata mim iko penda makalio ila yasiwe ya mchina au sio micheseMakalio nadhani!
cantalisia tunawachambua sababu mmeumbwa kwa ajili yetu,umesahau nyie mmeumbwa ili mtusaidieJaman!!!yani mnavotuchambua!!!
wanahama hama kama kuku..........leo macho kesho akipita mwenye kengeza anaye keshokutwa wowowo ghafla utasikia hilo limepinda cheki lile limenyooka:violin: