Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Habari wana JF?
Kinachonifanya niulize hivi ni kuna skendo imetokea ofisini as follows;
Wafanyakazi wenzetu wamekutwa wakila uroda ofisini muda wa lunch, sie twaenda lunch wao wanajifanya wako busy kwamba watachelewa kwenda lunch.
Bad lucky, kuna mtu alishtukia mpango mzima akavunga anaenda lunch then akarudi kupiga chabo. Alipohakiki kweli wanabanjua amri ya sita ofisini alikuja kuita staff wengine nao wakaone.
Loh! Kilichotokea ni kwamba yule binti alipogundua kaonwa na staff wenzie, alitoka mbio mpaka leo hii ni siku ya nne hajakanyaga ofisini na mtaani haonekani ilhali mzinzi mwenzie anakuja kazini na tena anachukulia kama ni ujiko fulani hiviii.
Swali ni; kwanini ukimbie tena mpaka ufikie kuamua kuacha kazi ilhali ulitongozwa na kufikia maamuzi kwa hiyari yako kutafuniwa ofisini?
Kwa nini yanapotokea maswala ya fumanizi aibu huelemea kwa mwanamke pekee na si kwa wote?
Kinachonifanya niulize hivi ni kuna skendo imetokea ofisini as follows;
Wafanyakazi wenzetu wamekutwa wakila uroda ofisini muda wa lunch, sie twaenda lunch wao wanajifanya wako busy kwamba watachelewa kwenda lunch.
Bad lucky, kuna mtu alishtukia mpango mzima akavunga anaenda lunch then akarudi kupiga chabo. Alipohakiki kweli wanabanjua amri ya sita ofisini alikuja kuita staff wengine nao wakaone.
Loh! Kilichotokea ni kwamba yule binti alipogundua kaonwa na staff wenzie, alitoka mbio mpaka leo hii ni siku ya nne hajakanyaga ofisini na mtaani haonekani ilhali mzinzi mwenzie anakuja kazini na tena anachukulia kama ni ujiko fulani hiviii.
Swali ni; kwanini ukimbie tena mpaka ufikie kuamua kuacha kazi ilhali ulitongozwa na kufikia maamuzi kwa hiyari yako kutafuniwa ofisini?
Kwa nini yanapotokea maswala ya fumanizi aibu huelemea kwa mwanamke pekee na si kwa wote?