The Failure of CCM policies on the Union.
The failure of political class
Whither the Union
kipengele "b" how can you prove it?Is there anyway you can back up your point?Kwa sababu kubwa mbili:
a. It is a bad precedence
b. Zanzibar was not annexed or forced into the union.
kipengele "b" how can you prove it?Is there anyway you can back up your point?
Hati ya muungano ushawahi kuiona?
[video=youtube_share;J_3Y2TNSTb0]http://youtu.be/J_3Y2TNSTb0[/video]Yaliyotokea Zanzibar leo na yale yanayoendelea ni matokeo ya kushindwa kwa utawala wa CCM kutatua matatizo ya Muungano. Lakini pia ni ishara ya kushindwa kwa viongozi wetu wa kisiasa nchini kuutetea Muungano na kujenga hoja za kwanini yapaswa uendelee. Kwa muda mrefu kikundi cha watu wachache kimekuwe kikisukumiza hoja dhidi ya Muungano na baadhi yao kuzawadiwa nafasi za uongozi licha ya msimamo wao juu ya Muungano kujulikana. Hivyo siku baada ya Muungani (A Day After the Union) itakapofika siyo Wananchi wa kawaida watakaolalamikiwa bali viongozi wale ambao wameacha siku hiyo ifike. Ukimya wa Wazanzibari wenye kuamini katika Muungano kumewachochea kundi hilo dogo. Tusije kushangaa tunashuhudia kuzaliwa kwa kikundi cha "Boko Haram" cha Tanzania!!! Yote yatakuwa ni kwa sababu ya kushindwa kwa utawala wa CCM kutoa uongozi!
Hatujasikia viongozi wa CCM wakitetea Muungano kama wanavyotetea chama chao; hatujawasikia wakiwapinga anti-unionists kwa hoja zenye nguvu bali wamekuwa wakiwapa baraza huru; na hatujawaona hata viongozi wao wa serikali - walioapa kulinda Katiba ya Muungano - wakitetea Muungano huo.
Ni kana kwamba wameshakubali kisichoepukika - kufa kwa Muungano. Sasa, kama hili ndilo wanalolitaka hakuna haja ya kuumizana, kupigana mabomu, wala kushindana. Kama kuvunjika kwa Muungano ni inevitable - basi hekima inatutaka tuweke mfumo wa kuvunja Muungano huu vizuri na kwa makusudi ili mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi mbili yaanze. Jamani, Muungano uwepo au usikuwepo watu wa Zanzibar hawaendi popote na watu wa bara hawaendi popote. Hata watu waombee vipi Wazanzibar wataendelea kuwepo na watu wa bara wataendelea kuwepo. Sasa kama hii ni kweli basi ni kushindwa tu kwa viongozi wetu na hasa kushindwa kwa sera zao mbovu ndiko kunakofanya mgogoro huu uwe mkubwa kuliko inavyopaswa.
Tusizungushe maneno! Kuvunjika kwa Muungano kutakuja si kwa sababu ya Uamsho au vikundi vya kidini; kutakuja kwa sababu wanasiasa wetu wameshindwa!
Let me be very blunt: Ajenda ya kisiasa ya Zanzibar sasa hivi inaendeshwa na watu wa CUF; wana CCM Zanzibar wamefyata mkia. hawawezi kuwapinga CUF bila kuonekana "hawaitakii mema Zanzibar" na wale wanaoamini katika Muungano hawana ujasiri wa kuwapinga hawa wengine. CUF ndio wanaendesha siasa za Zanzibar sasa.Tumeona katika jaribio lao la kuwapiga marufuku watu wa bara kufanya kazi Zanzibar. CCM imedhoofika siyo bara tu bali hadi Zanzibar!
Kwa sababu kubwa mbili:
a. It is a bad precedence
b. Zanzibar was not annexed or forced into the union.
ilete hapa,,,if u saw it
Hakuna ulichoongea zaidi ya chuki kwa Wazanzibari na chama cha CUF, nani kakwambia wanaokataa muungano ni wachache, si umeoona matembezi yalivokuwa na bado hayakuwa rasmi. Kwa taarifa tu licha ya wana CUF lakini zaidi ya 60% ya wana CCM Z'bar hawautaki muungano isipokuwa wanawaogopa Watanganyika kama alivosema mwakilishi Mansour Yusuf, Hamza Juma etc. Na ndio maana wamekaa kimya.
Inshaallah Zanzibar itakuwa huru hata kama itabidi kujitoa muhanga tuko tayari Mkuu.
Samahani kama nimekukosea kaka, lakini jaribu kuleta 7bu za msingi usilete hoja za kutugawa Wazenji.
Wazanzibari hatuzungumzii tena UCCM wala UCUF, tunachodeal nacho ni Uzanzibari kwanza ndio ukaona tumesimama kwenye Uislam zaidi (UAMSHO).
Actually most of us hate the so called muungano, it doesnt benefit tanganyikans! I hate it! It only helps zanzibaris!
Bado sijaelewa hapo ni kitu gani hasa hakitakiwi: watanganyika au wakristo?
This tells you wazanzibar sio swala la muungano linawapeleka kufanya yote haya... swala la udini limeota mizizi ndio sababu ya yote haya. Nasi tuanze kuwafukuza wapemba toka kwetu.. Kila mtu arudi kwao watuache sisi tubaki na umaskini wetu wanafikiri utajiri wa haraka wakidanganywa na waarabu ngoja wachinjane sisi huku kwetu shwaaaaariii ni mpambano wa ccm na upinzani ndio raha yetu. Nendeni bana kwani muungano wa nini! Namshukuru Mungu wangu nilizaliwa Tanganyika. Chinjaneni tu ndipo mtajuwa vita sio lelemama.Wazanzibar kuchoma makanisa kwa kisingizio cha kuupinga muungano ni kuwaonea wakristo au nikitendo cha kuiogopa serekali yao.kwani walio uleta muungano ni nyerere na karume ambao walikuwa ni viongozi wa serekali wakati huo makanisa haya kuhusika. kama wanaona kuna makosa yalifanyika basi waadhibiwe walio fanya makosa kuliko kumwadhibu mtu ambae hakuhusika.