Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Oct 4, 2012 #1 CCM bado hawajajua nini maana ya People's Power! Attachments Peoples Power.jpg 17.5 KB · Views: 316 Power 1.jpg 19.8 KB · Views: 173
H hippocratessocrates JF-Expert Member Jul 1, 2012 3,598 1,539 Oct 4, 2012 #2 Haha..Mkuu Ndallo nadhani unge-lable huyo mtu aliyenyoosha mkono kwa rangi ya kijani fulani hivi.
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Oct 4, 2012 Thread starter #3 hippocratessocrates said: Haha..Mkuu Ndallo nadhani unge-lable huyo mtu aliyenyoosha mkono kwa rangi ya kijani fulani hivi. Click to expand... Hahahahaaa kweli mkuu ngoja niifanyie kazi!
hippocratessocrates said: Haha..Mkuu Ndallo nadhani unge-lable huyo mtu aliyenyoosha mkono kwa rangi ya kijani fulani hivi. Click to expand... Hahahahaaa kweli mkuu ngoja niifanyie kazi!
Dotworld JF-Expert Member Aug 10, 2011 4,035 3,773 Oct 4, 2012 #6 Huwa wanaanza hivyo ... manyanyaso yakizidi & raia wakichoka na manyanyaso ya Serikali zao ... Hata Polisi hawataweza kuwadhibiti tena ... wala kuwanyamazisha! ... Ipo siku itafikia hivi
Huwa wanaanza hivyo ... manyanyaso yakizidi & raia wakichoka na manyanyaso ya Serikali zao ... Hata Polisi hawataweza kuwadhibiti tena ... wala kuwanyamazisha! ... Ipo siku itafikia hivi