Kinachojiri Arumeru sasa hivi

Ndugu zangu kamera sina alafu simu ninayotumia kamera yake imekufa kutokana na safari za mara kwa mara.nasari ameongea mambo mengi mazuri na ya msingi,hakika hakuna matusi hapa, amehoji iweje maji yatoke arumeru,alafu arumeru wakose maji monduli wapate maji??

Halafu pia amehoji wazazi kudaiwa hela yakununua madawati wakati wa kupeleka watoto kuanza form one,mbona akimaliza form four haondoki na dawati lake?hakika ni hoja ya msingi kwa watanzania wote wanaopinga dhuluma na dili zisizo na tija.

Kuhusu kuoa amesema mke aoatoka kwa mungu, mke sio kitunguu hata kwenye banda la nje ya nyumba unapata kwa urahisi,na amesema kuanzia sasahi anaweza kuchukua MAAMUZI MAZITO KUHUSU HALIMA MDEE.

SO MDEE from now kijana ndio huyo anakuja kumaliza mambo
,yaani fulu mzuka.MUNGU awajalie wafanikiwe wawe kitu kimoja.habari ndio hiyo doctor kama kawa anawajulisha watu halmashauri zao zinavyoliwa na mafisadi wa sisiemu.

Ntawajuza zaidi.

1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.


2. Hapo kwa MDEE sijaelewa vizuri, kwani kijana NASSARI anapumzika kwa MDEE au ndiyo anataka kuanza.
 
1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.

2. Hapo kwa MDEE sijaelewa vizuri, kwani kijana NASSARI anapumzika kwa MDEE au ndiyo anataka kuanza.
Ni kweli ufafanuzi ni muhimu hapo kuhusu kamanda Halima. Ndo kusema anaweza kuwa mumewe?
 
1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.


2. Hapo kwa MDEE sijaelewa vizuri, kwani kijana NASSARI anapumzika kwa MDEE au ndiyo anataka kuanza.

hio ya madawati umetumia fomula gani maanake haiingi akilini kwani shule ikianza mwaka wa kwanza mpaka wa nne tayari madawati yamejaa madarasani ....kwahio kuanzia mwaka wa tano hizo dawati zinaenda wapi? wakati majengo hayajaongezeka?

 
serikali ni mkataba baina ya watawala na watawaliwa, endapo mtawala/mtawaliwa hataridhishwa na mwenendo wa mwenzie katika kufurnish mkataba husika, upande utakaodhibitisha kukiukwa kwa terms za mkataba husika anaweza kuvunja mkataba huo.
Huu ni wakati wa Arumeru east kuvunja mkataba walioingia na walaghai CCM.
Ukichagua CCM umechagua maisha magumu daima.
 
Ndugu zangu kamera sina alafu simu ninayotumia kamera yake imekufa kutokana na safari za mara kwa mara.nasari ameongea mambo mengi mazuri na ya msingi,hakika hakuna matusi hapa, amehoji iweje maji yatoke arumeru,alafu arumeru wakose maji monduli wapate maji??

Halafu pia amehoji wazazi kudaiwa hela yakununua madawati wakati wa kupeleka watoto kuanza form one,mbona akimaliza form four haondoki na dawati lake?hakika ni hoja ya msingi kwa watanzania wote wanaopinga dhuluma na dili zisizo na tija.

Kuhusu kuoa amesema mke aoatoka kwa mungu, mke sio kitunguu hata kwenye banda la nje ya nyumba unapata kwa urahisi,na amesema kuanzia sasahi anaweza kuchukua MAAMUZI MAZITO KUHUSU HALIMA MDEE.

SO MDEE from now kijana ndio huyo anakuja kumaliza mambo,yaani fulu mzuka.MUNGU awajalie wafanikiwe wawe kitu kimoja.habari ndio hiyo doctor kama kawa anawajulisha watu halmashauri zao zinavyoliwa na mafisadi wa sisiemu.

Ntawajuza zaidi.

CDM kuna tatizo gani linapofika suala la ndoa. Kwani aliulizwa kuhusu ndoa?

Niliwahi kusoma mahala Mdee akisema anataka mtu ambaye si msomi!
 
Mtoto huyu vp mtoto siyo rizki hashughulikii hata apewe nini ,,, wimbo mzuri sana huu uliimbwa na SUGU!
 
hayo mambo ya ndoa yanatoka wapi tena kwani ukioa utendaji wako unakuwa na tofauti na wasio oa?
 
Hii issue ya madawati arumeru ni sugu sasa! Since time immemorial wanafunzi wanachangishwa madawati kila mwaka! Hayajai yakafurika jamani? Waanze kuchangia na vitabu basi!
Issue ya Nassari na Halima is misplaced! Nimekumbuka Mh Sita akiwa speaker alimtambulishaga ShyRose Bhanji kuwa she is engaged wanasubiria harusi and never happened. Issues personal hazitusaidii, kama arumeru na maji yote yanayoitiririka wananchi hawana maji labda mbunge bachelor ndo anafaa manake akikosa maji na hana mke kitaeleweka tu!
1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.


2. Hapo kwa MDEE sijaelewa vizuri, kwani kijana NASSARI anapumzika kwa MDEE au ndiyo anataka kuanza.
 
1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.

mkuu mbona unapingana na waziri wako wa tamisemi?
 
Inapendeza kwa kweli lakini kubwa zaidi ni kuhakikisha April mosi tuna-capitalize haya yanayofanyika sasa. Big up CDM
 
Majembe yalisimama kutoa nasaha zao na kuomba kura kwa wana arumeru kwa joshua nasary.Mchungaji msigwa,meya wa moshi mjini, madiwani wa arusha mjini.mbunge wa karatu na viongozi wengind wengi tu wa chadema kutoka sehemu tofauti tofauti.

Doctor wa ukweli yupo ameshafika.watu ni wengi sana, kwa kweli hapa chadema wanasubiri tu kuapishwa kwa mbunge wao joshua nasari.watu ni wengi sana na wenye muamko wakutosha.hotuba wanazotoa viongozi wao ni zakutia moyo na kuelimisha.

Hoja iliyopo kwa sisiemu nikua vijana hawana vitambulisho vya kupigia kura,inawezakua nikweli alakini hata hao wazee wanao tegemewa na sisiemu hawako wengi kama vijana walivyo wengi, Nyerere ndio yupo jukwaani akimkaribisha doctor aliekaa darasani sio yule wa kichina alieko beach califonia sasahivi akifisadi kodi za watanzania.

Tulikua chuoni mwanza jana sidhani kama kuna mwanasisiemu hata mmoja jana.ntawapa update zaidi,ngoja nimsikilize doctor ndio anaaoza kazi.

Je walikumbuka kutoa shule kwa wananchi juu ya nguvu waliyonao? Kwani wananchi wengi hawajui nguvu waliyonayo, na siku wakijua wanasiasa uchwara wataipata

View attachment 49604
 
1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.


2. Hapo kwa MDEE sijaelewa vizuri, kwani kijana NASSARI anapumzika kwa MDEE au ndiyo anataka kuanza.
ndugu yangu naomba chukua muda kunielewa,mwanafunzi anapoenda kuanza form one anatakiwa aende na dawati,kaaukijua kua hiyoshule sio mpya,kwamba labda kunamadarasa hayana madawati,wanaomaliza form four wanakua wameacha madawati sasa labda uniambie kama kuna baadhi yatakua yameharibika hapo sawa alakini suala la kila mwanafunzi kila mwaka kuja na dawati sio rahihi ng wizi huo.kuhusu mdee amehoji kama kupata mke ni shida kihivyo kama magamba wanavyofikiri basi anaweza kwenda hata kwa mdee akapata mke alafu mumpe huo ubvnge.,inahitaji kufikiri zaidi kuielewa hile kauli
 
1. Kuhusu madawati mkuu ni sera ya elimu na ni nchi nzima wanafanya hivyo sasa akipata ubunge sijui atabadilishaje maana sera zinazotekelezwa ni za CCM.

Kyela hatupeleki madawati tunapoandikisha watoto wetu shule;amri hii iliondolewa mwaka 2005 baada ya Mwakipesile wa CCM kushinda ubunge kwa tofauti ya kura chini ya 100 dhidi ya hayati Mwakasumi wa TLP!

RIP Mwakasumi alikuwa anaielezea hii kwenye kampeni zake na wana Kyela wakamuelewa na CCM kuhofia kupoteza jimbo kwenye uchaguzi wa 2010 wakafuta michango yote kwenye elimu!

Mkiwa na upinzani imara CCM huwa inafuta michango ya hovyohovyo lkn wakijua Jimbo ni lao huwa wananyanyapaa mno wapiga kura!

NB>RIP Mwakasumi akajiondoa TLP na kujiunga CCM na alifariki mwaka 2010 akiwa MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA KYELA!
 
Back
Top Bottom